MWAMBA FEI TOTO NGOMA NZITO KUSEPA AZAM FC

NGOMA ni nzito kwa nyota wa Azam FC, Feisal Salum kusepa hapo kutokana na dau ambalo linahitajika kuwa zaidi ya milioni 500 kuvunja mkataba wake. Inatajwa kuwa matajiri kutoka Kariakoo ambao ni Simba na Yanga wapo kwenye rada za kuinasa saini ya kiungo huyo ambaye ni namba moja kwa pasi za mwisho Bongo. Ametoa pasi…

Read More

YANGA SIO KINYONGE KUWAKABILI TP MAZEMBE

KUTOKA ligi namba 6 kwa ubora Afrika, Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa taji la ligi msimu wa 2024/25 wamebainisha kwamba wapo tayari kusaka pointi tatu mbele ya wapinzani wao TP Mazembe ambao tayari wameshatua ardhi ya Tanzania ukiwa ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Katika mchezo uliopita wa makundi wakiwa ugenini dhidi ya…

Read More

MKANDAJI KIBU D NA UJUMBE WAKE KWA WAARABU

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Kibu Dennis amesema kuwa malego makubwa ni kuona wanapata matokeo katika mechi za kitaifa na kimataifa ndani ya uwanja kutokana na ushirikiano uliopo. Kibu ni chaguo la kwanza la Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids ambapo kwenye mechi 15 za ligi ni 11 alipata nafasi ya kucheza akikosekana kwenye mechi 4…

Read More