>

MERIDIANBET YATOA MSAADA KWA ZAHANATI YA KIJITONYAMA

Neno ambalo unaweza kusema ni kua Kijitonyama imebarikiwa kwakua imepata nafasi ya kufikiwa na kampuni bingwa kabisa ya michezo ya kubashiri ya Meridianbet, Ambapo wameweza kufika eneo hilo na kutoa msaada katika Zahanati. Mabingwa hao wa michezo ya kubashiri wamefanikiwa kutoa msaada wa vifaa vya usafi katika Zahanati hiyo, Kwani wametoa Ndoo za kuhifadhia takataka…

Read More

Kwapua Mkwanja wa Meridianbet Jumamosi ya Leo

  Jumamosi za leo nyasi mbalimbali kwenye ligi tofauti zitawaka vilivyo, huku kila timu ikihitaji kukusanya pointi tatu za muhimu ili kuendelea kujikita kwenye nafasi nzuri za msimamo wa ligi. Nani ni nani leo. Ingia meridianbet na utandike jamvi lako. Darubini yangu inaanza kumulika ligi ya  EPL ambapo pale Old Trafford Manchester United baada ya…

Read More

SIMBA NGOMA NI NZITO KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania Simba kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika ngoma ni nzito baada ya kugawana pointi moja na wapinzani wao ASEC Mimosas. Kwenye mchezo huo wa hatua ya makundi Simba ilikuwa na hesabu za kupata pointi tatu kama ilivyokuwa kwa wapinzani wao mwsho ubao ukasoma ASC Mimosas 0-0 Simba. Ngoma ni nzito kwa Simba katika…

Read More

RAIS WA CONGO, FELIX TSHISEKEDI ATANGAZA KUMPATIA ZAWADI MCHEZAJI LUVUMBU NZINGA

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi ametangaza kumpatia zawadi mchezaji Luvumbu Nzinga ambaye ameachana na klabu ya Rayon Sports ya Rwanda hivi karibuni. Katika mkutano na waandishi wa habari alifahamisha kuwa Luvubu alionyesha ushujaa katika kuwapigania wananchi wa DRC waliopo Kaskazini mwa nchini hiyo ambao wanaendelea kuyakimbia makazi yao kutokana na mapigano…

Read More

WIKENDI ZA MKWANJA NI HII YA LEO

Utamu wa kubashiri ni kula pesa na hii yote utaikuta kwa wababe wa ubashiri Tanzania pekee meridianbet ambapo hapa unapata ODDS KUBWA na za kibabe sana. Timu nyingi zipo uwanjani leo weka mkeka wako uamke na pesa asubuhi kesho. LIGUE 1 kule Ufaransa kurindima leo ambapo Lyon atakuwa ugenini kusaka pointi tatu dhidi ya Metz…

Read More

LIGI YA MABINGWA AFRIKA WABABE KAZINI

LIGI ya Mabingwa Afrika inatarajiwa kuendelea leo Februari 23 kwa timu kushuka uwanjani kusaka ushindi ndani ya uwanja katika dakika 90. Wababe ASEC Mimosas watakuwa kazini kwenye mchezo dhidi ya Simba unaotarajiwa kuchezwa nchini Ivory Coast. Kwenye mchezo uliopita walipokutana Uwanja wa Mkapa ubao ulisoma Simba 1-1 ASEC Mimosas walipogawana pointi mojamoja.  Al Hilal itakuwa…

Read More

TWIGA STARS KAZINI LEO, HAKUNA KIINGILIO

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, Bakari Shime amesema kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo dhidi ya timu ya Afrika Kusini. Shime ameweka wazi kuwa muda wa maandalizi waliopata walitumia kufanyia kazi makosa na kupeana mbinu ambazo zitakuwa kielelezo kwenye mchezo ndani ya dakika 90. Mchezo huo unatarajiwa…

Read More

HAPA UEFA CONFERENCE LEAGUE PALE MKWANJA KUTOKA MERIDIANBET

Wakati michuamo ya Uefa Conference League inaendelea nao mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet nao hawako nyuma wanaendelea kukuhakikishia uhakika wa kushinda mkwanja kupitia michuamo hii. Michuano ya Uefa Conference League itaendelea usiku wa leo na viwanja mbalimbali vitawaka moto, Lakini Meridianbet wanakuambia hii ni fursa nyingine kwako wewe mteja wao kwani michezo…

Read More

MUDATHIR NA JOB WAMEFANYA HAYA YANGA

MIAMBA wawili ndani ya kikosi cha Yanga kwa msimu wa 2023/24 wamefanya yao kwa kuandika rekodi za kuwa nyota wa kwanza kufunga katika mechi za mwanzo kwa kila mzunguko. Kasi ya kiungo Mudathir Yahya kutoka mzunguko wa kwanza imeendelea mpaka mzunguko wa pili akifanya yake ndani ya uwanja. Ikumbukwe kwamba Mudathir alifunga mabao kwenye mechi…

Read More