>

VIDEO: SIMBA WASIWACHUKULIE POA AL AHLY KIMATAIFA

KUELEKEA mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Simba dhidi ya Al Ahly unaotarajiwa kuchezwa Machi 29 2024 Uwanja wa Mkapa Legend Saleh Ally ameweka wazi kuwa Simba wanapaswa kuwa makini kuelekea mchezo huo wasiwachukulie pia wapinzani wao kwa kuwa Al Ahly ni moja ya timu imara ambazo zinajua namna ya kufanya kwenye hatua…

Read More

YANGA SC:MAMELODI WANAKUFA, AYOUB AKABIDHIWA AL AHLY

MSIMU MPYA MAMBO MAPYA! Gazeti lako bora la Championi linalotoka mtaani mara mbili kwa wiki, Jumatatu na Ijumaa, sasa limekuja kivingine. Tunatoa zawadi kwako ewe msomaji ambapo kwa kununua GAZETI LA CHAMPIONI, utapata fursa ya kuzawadiwa jezi mpya ya Simba au Yanga za msimu wa 2023/2024, pindi ununuapo gazeti letu kupitia Global App. Soma Gazeti…

Read More

YANGA HESABU ZAKE KUFANYA KWELI KIMATAIFA

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa mpango mkubwa ni kufanya vizuri kwenye mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Mamelodi Sundowns ya Afrika Kusini unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 30 2024. Ali Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga ameweka wazi kuhusu kuelekea kwenye mchezo huo.

Read More

TAIFA STARS YAGOMEA KUPOTEZA TENA

KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Hemed Suleiman, (Morocco) ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa mchezo unaotarajiwa kuchezwa leo Machi 25 2024 hivyo hawatakuwa tayari kupoteza kwa mara nyingine tena. Stars itakuwa na kibarua kwenye mchezo wa  FIFA Series dhidi ya Mongolia ukiwa ni mchezo wa pili baada ya ule wa awali…

Read More

BEKI WA KAZI YANGA AKIRI UGUMU WANAOPATA

BEKI wa Yanga, Gift Fred amebainisha kuwa kazi ni ngumu kwenye mechi za Ligi Kuu Bara kutokana na ushindani wanaopata kutoka kwa wapinzani wao uwanjani. Fred bado hajawa ni chaguo la kwanza chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kwenye mechi ambazo anapewa nafasi miguu yake haikuwa na ajizi katika kutimiza majukumu yake. Ikumbukwe kwamba miongoni…

Read More

MWAMBA WA KAZI ATUMA UJUMBE AL AHLY

MWAMBA wa kazi Shomari Kapombe amebainisha kuhusu mpango kazi kuhusu mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa Machi 29 2024. Kapombe ameweka wazi kuwa wanatambua kwamba ushindani ni mkubwa na watafanya kazi kubwa kupambana kupata matokeo chanya

Read More

AZAM FC YAPETA MBELE YA ZIMAMOTO

KLABU ya Azam FC kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Zimamoto waliibuka na ushindi wa mabao 2-1 baada ya dakika 90 kukamilika. Mchezo huo ulichezwa Uwanja wa Azam Complex Azam FC walianza kupata bao la kuongoza ilikuwa dakika ya 10 kupitia kwa mwamba Kipre Junior katika mchezo huo. Kabla ya mapumziko Hilika dakika ya 28…

Read More

SIMBA YAPIGA HESABU KUANDIKA HISRORIA CAF

WILLY Onana kiungo mshambuliaji wa Simba amesema wapo tayari kuandika historia kwa kutinga hatua ya nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika. Ipo wazi kwamba miongoni mwa waliotimiza majukumu yake katika hatua za makundi ni Onana licha ya kutokuwa na mwendelezo mzuri, mabao yake mawili kwenye mchezo dhidi ya Wydad Casablanca yaliongeza nguvu kwa Simba kutinga…

Read More

SERIKALI YATUMIA BILIONI 2.4 KUGHARAMIA TIMU ZA TAIFA

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Dkt. Damas Ndumbaro amesema kuwa katika kipindi cha mwezi Julai 2023 hadi Februari, 2024 Wizara kupitia Baraza la Michezo la Taifa (BMT) imetumia kiasi cha Shilingi Bilioni 2.4 kugharamia timu mbalimbali za Taifa katika mashindano ndani na nje ya nchi. Mhe. Ndumbaro amesema hayo wakati akiwasilisha utekekezaji wa Bajeti…

Read More

SIMBA KUWABADILIKIA AL AHLY KIMATAIFA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano ndani ya kikosi cha Simba amebainisha kwamba watakwenda na kasi ya wapinzani wao Al Ahly Waarabu wa Misri kwenye mechi za Ligi ya Mabingwa hatua ya robo fainali. Ikiwa imeweka kambi Zanzibar kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya…

Read More

KUHUSU AUCHO, KIBWANA, PACOME ISHU YAO IPO HIVI

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Yanga dhidi ya Mamelodi Sundowns uongozi wa Yanga umebainisha kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo huku ukibainisha kuhusu hali za wachezaji wao ambao hawapo fiti ikiwa ni Khalid Aucho, Pacome, Kibwana Shomari. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Mahi 30 Uwanja wa Mkapa

Read More