MANARA: FOCUS YETU IWE MECHI YA KESHO LA KAGOMA TULIWEKE KIPORO
Anaandika Haji MANARA, Na mimi nalisoma na kulisikia Sakata la mchezaji Yussuf Kagoma kama tunavyosikia wengi… Ningeshauri jambo kwa Wanayanga wenzangu, hebu tufocus na mechi ngumu ya kesho ugenini dhidi ya Wahabesh. Wachezaji wetu wanasoma mitandaoni mabishano yetu na Watani zetu, na wao kama binadaamu wanaingia katika mkumbo wa kipi iko focus zaidi. Tuitumie siku…