>

SIMBA:KAZI TUTAIMALIZA UWANJA WA MKAPA KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kazi kubwa kwenye anga la kimataifa itakwenda kuamuliwa Dar, Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa marudio dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya. Ni Septemba 15 2024 baada ya dakika 90 kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika ubao ulisoma Al Ahli Tripoli 0-0 Simba hivyo ndani ya dakika…

Read More

USHAMBULIAJI YANGA KAZI IPO

UWEPO wa washambuliaji zaidi ya wawili ndani ya Yanga unatoa picha kwamba kazi ipo katika eneo hilo kwa kuwa hakuna mwenye uhakika wa kuanza kikosi cha kwanza kwenye mechi za ushindani kitaifa na kimataifa msimu wa 2024/25. Ukiweka kando washambuliaji ndani ya Yanga kuna viungo zaidi ya wawili wenye uwezo wa kufunga na kutengeneza nafasi…

Read More

YANGA KAZINI NEW AMAAN COMPLEX KIMATAIFA

BAADA ya mchezo wa Septemba 14 2024 ubao kusoma CBE SA 0-1 Yanga dakika 90 za kazi zinatarajiwa kuchezwa Jumamosi katika ardhi ya Tanzania. Chini ya MiguelGamondi ambaye ni kocha mkuu wa Yanga katika dakika 90 za ugenini bao la ushindi lilipachikwa na mshambuliaji Prince Dube dakika ya 45. Gamondi ameweka wazi kuwa kuanza kwa…

Read More

AZAM FC WAMEANZA NAMNA HII NA BENCHI JIPYA

BENCHI jipya la ufundi la Azam FC mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu Bara limeshuhudia wakigawana pointi mojamoja dhidi ya wapinzai wao Pamba Jiji katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Septemba 14 2024. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza wa ligi msimu wa 2024/25 ilikuwa JKT Tanzania 0-0 Azam FC wakati huo timu ilikuwa…

Read More

YANGA YASHINDA UGENINI, TATIZO LIPO HAPA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga karata yao ya kwanza katika hatua ya pili wameibuka na ushindi ugenini kwenye mchezo wao uliochezwa Ethiopia. Licha ya timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi kwa kushuhudia ubao ukisoma CBE SA ya Ethiopia 0-1 Yanga bado kuna kazi kubwa ambayo benchi la ufundi litakwenda…

Read More

YANGA KUWAKABILI WAETHIOPIA KIMKAKATI

WAWAKILISHI wa Tanzania Yanga kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika watakuwa na kazi ya kuwakabili wapinzani wao CBE SA ya Ethiopia leo Septemba 14 2024 huku wakipiga hesabu kuwakabili kimkakati kupata ushindi katika mchezo huo. Ipo wazi kwamba katika timu mbili ambazo zilianzia hatua ya awali Ligi ya Mabingwa Afrika ni Yanga imesonga mbele baada ya…

Read More

MERIDIANBET YAITEMBELEA HOSPITALI YA KIJITONYAMA LEO

Meridianbet katika mwendelezo wa jitihada zake za kusaidia jamii imetoa msaada wa mashuka kwa Hospitali ya Kijitonyama. Msaada huu unalenga kusaidia kuboresha huduma za afya kwa wagonjwa wanaopata matibabu hospitalini hapo. Mashuka hayo, ambayo yamekabidhiwa kwa uongozi wa hospitali katika hafla fupi, yataleta faraja kwa wagonjwa kwa kuboresha hali ya usafi na mazingira ya hospitali….

Read More

MASHUJAA YAITULIZA COASTAL UNION, MATAMPI YAMKUTA

KUTOKA Kigoma mwisho wa reli huku wakiwa wanatumia Uwanja wa Lake Tanganyika kwenye mechi za nyumbani, Mashujaa wamewatuliza Coastal Union kwa kusepa na pointi tatu mazima katika mchezo wa ligi wakiwa ugenini. Mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa ndani ya uwanja ulichezwa Septemba 13 ambapo dakika 15 za mwanzo zilitosha kuwapa ushindi Mashujaa kwa kupachika…

Read More

SIMBA BADO KUNA TATIZO LA ULINZI LIFANYIWE KAZI

SAFU ya ulinzi ya Simba inayoongozwa na Che Malone bado ni tatizo kutokana na kufanya makosa ya mara kwa mara katika eneo la 18 jambo ambalo litawagharimu wasipolifanyia kazi. Kumbuka kwamba katika mechi mbili za Ligi Kuu Bara wakitumia dakika 180 safu ya Simba haikufungwa lakini walikutana na timu ambazo hazikufanya mashambulizi mara nyingi zaidi…

Read More

YANGA KAZINI KIMATAIFA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa Yanga kesho Septemba 14 2024 wanakibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo dhidi ya CBE SA ya Ethiopia. Septemba 12 2024 msafara wa Yanga uliwasili salama nchini Ethiopia kwa ajili ya maandalizi ya mwisho ya mchezo huo ambao unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa timu zote mbili. Miguel Gamondi,…

Read More

FOUNTAIN GATE HAWATAKI UTANI HESABU NDEFU

UONGOZI wa Fountain Gate umeweka wazi kuwa mpango mkubwa ni kupata pointi tatu kwenye mechi zao zote ambazo watacheza kutokana na kuwa na kikosi bora. Mechi mbili mfululizo Fountain Gate imekomba pointi tatu ilikuwa kwenye mchezo dhidi ya Namungo ugenini na mchezo dhidi ya Ken Gold wakiwa nyumbani. Katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Majaliwa ilikuwa…

Read More

RAIS SAMIA MGENI RASMI TAMASHA LA UTAMADUNI SONGEA

Rais Dk Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika Tamasha la Tatu la Utamaduni ambalo litafanyika kwa siku nne kuanzia Septemba 20 hadi 23, 2024 wilayani Songea Mkoani Ruvuma. Akizungumza katika mkutano wake na waandishi wa habari Jijini Dodoma leo Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo, Gerson Msigwa amesema tamasha hilo linatokana…

Read More