MERIDIANBET YAFIKA ZAHANI KIBAHA KUTOA MSAADA
Meridianbet magwiji wa michezo ya kubashiri wameiinua Kibaha na hiyo ni baada ya kufika eneo hilo na kutoa msaada wa katika Zahanati inayopatikana katika eneo hilo. Kurudisha kwenye jamii yake ni utaratibu ambao Meridianbet wamekua nao kwa miaka na miaka na leo wameendeleza utaratibu huo ambapo wamefika Kibaha kwenye Zahanati ya Misugusugu na kurudisha tabasamu…