ISHU YA WACHEZAJI KUWA NA UMRI MKUBWA SIMBA YAFUNGUKA
WAKATI wakitajwa kuwa wachezaji wengi wa Simba miaka imekwenda jambo lililofanya wakashindwa kufanya vizuri ndani ya ligi na Ligi ya Mabingwa Afrika benchi la ufundi la Simba limefafanua kuhusu ishu hiyo. Miongoni mwa wachezaji waliofanya vizuri ndani ya Simba ni pamoja na Saido Ntibanzokiza ambaye ni namba moja kwa utupiaji katika kikosi cha Simba akifunga…