DILI LA KIBU D NA KRISTIANSUND BK LIMEKUFA
Dili la Kibu D na timu ya ligi kuu ya Norway,Kristiansund BK,limekufa Baada ya Simba kumtaka mchezaji huyo arejee nchini Mara moja. Mwanzoni Simba walikuwa kwenye mazungumzo ya moja kwa moja na Kristiansund BK,na walikuwa tayari kumuachia mchezaji huyo Ila ghafla Simba wakawatumia email Kristiansund BK ya kuwajuza Kibu hauzwi Tena…hii ni Baada ya kuhisi…