SERGIO RICO AJIUNGA NA KLABU YA AL GHARAFA YA QATAR
Aliyekuwa golikipa wa klabu ya Paris Saint German, Sergio Rico amejiunga na klabu ya Al Gharafa ya Qatar kama mchezaji mpya klabuni hapo kwa uhamisho huru baada ya kuondoka PSG. Rico (31) raia wa Uhispania amekuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya mwaka mmoja baada ya kupata jeraha baya la kichwa katika ajali ya kuanguka…