>

PATACHIMBIKA LEO ZANZIBAR AZAM vs SIMBA

LIGI Kuu ya NBC Tanzania bara inaendelea tena leo Septemba 26, 2024 kwa mchezo mmoja wa Derby ya Mzizima, kati ya wenyeji Azam Fc dhidi ya Wekundu wa Msimbazi Simba Sc utakaopigwa visiwani Zanzibar katika dimba la New Amaan Complex. Simba Sc itakosa huduma ya nyota wake wawili muhimu, Yusuph Kagoma na Mzamiru Yassin kukotana…

Read More

USISUBIRI WIKIENDI KUCHUKUA MAOKOTO SHINDA LEO

Nani alikuambia mpaka wikiendi ndio utaweza kushinda mamilioni? Jibu ni hapana kwani michezo mikali inapigwa kila siku na leo michuano ya Uefa Europa League inaendelea kupigwa na unaweza kupiga maokoto kupitia michezo inayopigwa leo. Michuano ya Europa League siku ya ligi itapigwa michezo zaidi ya saba ambayo kwa asilimia kubwa imepewa Odds za kutosha na…

Read More

SIMBA HAWANA HOFU NA AZAM FC

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hawana hofu na wapinzani wao kwenye mchezo wao wa Mzizima Dabi ambao unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Simba imecheza mechi mbili ndani ya Ligi Kuu Bara ambazo ni dakika 180 na kupata ushindi kwenye mechi zote hizo huku Azam FC ikicheza mechi nne ambazo ni dakika…

Read More

YANGA YAZITAKA POINTI TATU ZA KEN GOLD

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wapo tayari kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Ken Gold unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Sokoine, Mbeya na kikubwa ni pointi tatu muhimu wanahitaji. Mchezo huo ni wa pili kwa Yanga ambao ni mabingwa watetezi ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza ilikuwa dhidi ya Kagera Sugar ulichezwa…

Read More

RATIBA YA LIGI KUU BARA HII HAPA

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea ikiwa ni mzunguko wa kwanza msimu wa 2024/25 ambapo kila timu zipo tayari kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Vinara ni Singida Black Stars baada ya kucheza mechi nne wamekomba pointi zote 12 huku nafasi ya pili ikiwa ni Fountain Gate yenye pointi 10, Ken Gold ambayo itakuwa kazini leo…

Read More

KITABU CHA ‘GANZI YA MAUMIVU KWENYE UPENDO’ RASMI KIPO MTAANI SASA

RASMI Kitabu cha Ganzi ya Maumivu Kwenye Upendo ambacho kimeegemea kwenye maisha halisi ya Kiafrika kikiwa na simulizi inayogusa maisha ya wengi, kipo mtaani kuanzia sasa. Usipange kukosa nakala yako kwa ajili ya kulisha chakula ubongo kuhusu suala la maamuzi na kuchanganya mambo mawili wakati mmoja, athari za madawa ya kulevya, elimu, visasi na upendo….

Read More

ONDOKA NA MKWANJA LEO KWA KUPIGA PENALTIES

Shinda mkwanja wako kiurahisi leo kwa kupiga Penalty tu kupitia mchezo wa kasino wa Beach Penalties, Mchezo huu unaweza kukupatia kiuwepesi kabisa kwani unapiga penalty zako za ushindi halafu unaibuka na ushindi.   Kwa kila pigo moja lina odds zake za ushindi ambazo zitajumlishwa na dau lako uliloweka kuchezea, kama ulikuwa una waza ni mchezo…

Read More

MPANZU NI MALI YA SIMBA

WINGA raia wa DR Congo Ellie Mpanzu rasmi amemalizana na Simba kwa kusaini dili la miaka miwili kuitumikia timu hiyo ambayo inanolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids. Ikumbukwe kwamba Septemba 22 Mpanzu alikuwa Uwanja wa Mkapa kushuhudia timu hiyo ikicheza mchezo wa raundi ya pili Kombe la Shirikisho kusaka mshindi wa kutinga hatua ya makundi…

Read More

ALIYEWAZIMA WAARABU KWA MKAPA JIONI AFICHUA SIRI

NYOTA wa Simba kiungo Edwin Balua aliyewazima wapinzani wao kwenye anga la kimataifa jioni amefichua alichoambiwa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids kabla ya kuingia kwenye mchezo huo. Septemba 22 2024 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 3-1 Al Ahli Tripoli huku mabao ya Simba yakifungwa na Kibu Denns dakika ya…

Read More

BEKI WA WAARABU HUYU VITENDO VYAKE NI OVYO

LEGEND kwenye ulimwengu wa Habari za Michezo Bongo, Saleh Ally Jembe ameweka wazi kuwa beki chipukizi kutoka Rwanda ambaye anacheza ndani ya kikosi cha Al Ahli Tripoli ni mchezaji wa Hovyo kutokana na vitendo vyake kutokuwa vya kiungwana. Ikumbukwe kwamba Al Ahli Tripoli imefungashiwa virago na Simba ya Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe…

Read More