MAN CITY YAENDELEA KUANDAMWA NA MAUZAUZA KAMA YANGA

Mauzauza yameendelea kuiandama Manchester City baada ya kushindwa kuulinda uongozi wa 3-0 na kusawazishiwa 3-3 dhidi ya Feyenoord ya Uholanzi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya huku ikishindwa kupata ushindi kwenye mechi ya 6 mfululizo kwenye michuano yote. Kwenye michezo mingine Arsenal imeilaza Sporting Lisbon jumla ya magoli 5-1, wakati Barcelona ikiilaza Brest magoli…

Read More

HII HAPA KAZI YA WANASIMBA, KIMATAIFA KWA MKAPA

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kuwa wanachama wa Simba leo ni sikukuu yao kwa kufanya mambo makubwa mawili, mapema kupiga kura kuchagua viongozi wa Serikali za Mitaa kisha jambo la pili kukutana Uwanja wa Mkapa kuishangilia Simba saa 10:00 jioni. Simba ina inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids inakibarua…

Read More