SEAD RAMOVIC KOCHA MPYA YANGA

Klabu ya Yanga imemtangaza raia wa Ujerumani, Sead Ramović kuwa kocha mkuu wa timu hiyo baada ya kuondoka kwa aliyekuwa kocha kwa klabu hiyo, Miguel Gamondi. Ramovic alikuwa kocha mkuu wa klabu ya TS Galaxy ya Afrika Kusini kuanzia mwaka 2021 hadi mwaka 2024.

Read More

KING KIKII WA ‘KITAMBAA CHEUPE’ AFARIKI DUNIA

Mwanamuziki Mkongwe Boniface Kikumbi Mwanza Mpango ‘King Kikii’ amefariki dunia. Mwanamuziki huyo ambaye ameugua kwa muda mrefu, amefariki usiku wa kuamkia leo Novemba 15 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili ambako alikuwa akipatiwa matibabu King Kikii atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa katika muziki wa dansi Tanzania. Kwa miaka mingi ameburudisha, amefundisha na kuelimisha jamii kupitia…

Read More

5 HOT STRIKE WASHINDI WANAPATIKANA HAPA

Mchezo wa Kasino unaobamba kwasasa mjini wa 5 Hot Strike umeendelea kua mchongo kwa wachezaji wa kasino, Kwani kadri siku zinavyoenda mbele ndivyo unaendelea kutoa mamilionea wapya. 5 Hot Strike ni mchezo wa sloti unaopatikana kasino ya mtandaoni ndani ya meridianbet, umetengenezwa na Fazi. Katika mchezo huu wa kasino, utafurahia alama za pori/Wild na alama…

Read More