>

NDEGE TATU ZATENGENEZWA TANZANIA

 KAMPUNI ya Airplanes Africa Limited (AAL) yenye makao yake Morogoro, imetangaza kuwa ndege tatu za kwanza zilizotengenezwa Tanzania, zinazojulikana kama Skyleader 600, zimeanza rasmi safari zake ndani na nje ya nchi. Mkurugenzi wa AAL, Bw David Grolig amesema kuwa ndege moja kati ya hizo tatu imetua kwa mara ya kwanza kwenye uwanja Ndege wa Kimataifa…

Read More

TUSUA MKWANJA NA LIGI YA MABINGWA ULAYA

Usiku wa leo nyasi zitaenda kutimua vumbi ambapo katika viwanja tofauti tofauti, Barca, Arsenal, Inter, Celtic wote wapo tayari kukutajirisha leo. Suka jamvi lako na Meridianbet leo. Tukianza na Arsenal baada ya kulazimishwa sare mchezo wake wa kwanza, atakiwasha dhidi ya PSG ambao walishinda. Mechi ya mwisho kukutana timu hizi ilikuwa ni 2016 ambapo walitoa…

Read More

SIMBA: UBAYA UBWELA UMEANZA KUFANYA KAZI

UONGOZI wa Simba umebainisha kuwa tayari ubaya ubwela umeanza kufanya kazi kwa vitendo jambo linalofanya wapinzani wao kuanza kutapatata kwenye mechi ambazo haziwahusu kwa namna yoyote ile. Simba baada ya kucheza mechi nne za ligi imekomba 12 ikipata ushindi kwenye mechi zote ambazo ilicheza huku safu ya ushambuliaji ikiwa imetupia mabao 10 ikiwa namba mbili…

Read More

YANGA: MABAO MENGI YANAKUJA, KUNA MTU ATALIA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa kutokana na mwendo ambao wanakwenda nao ndani ya ligi kuna mtu atalia akiingia kwenye mfumo kutokana na ubora walionao na uwezo wa kutengeneza nafasi. Rekodi zinaonyesha kuwa kwenye mchezo wa kwanza wa Yanga uliochezwa Uwanja wa Kaitaba, Agosti 29 na mwamuzi alikuwa ni William Abel Yanga ilifanya majaribio zaidi ya…

Read More

KMC KUIMARISHA SAFU YA USHAMBULIAJI

KOCHA Mkuu wa KMC Abdihamid Moalin amesema kuwa watafanya kazi kubwa kwenye kuimarisha safu ya ushambuliaji ili kuwa bora kwenye mechi ambazo wanacheza za ushindani ndani ya Ligi Kuu Bara. KMC mchezo wake uliopita ilikuwa ugenini baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Yanga 1-0 KMC bao la ushindi lilifungwa na…

Read More