FILY TRAORE AMEONDOKA TP MAZEMBE NA KUJIUNGA NA SWEHLY CLUB YA LIBYA
Mshambuliaji huyo raia wa Mali msimu uliopita ndiye alikuwa top scorer kunako Ligi Kuu DR Congo akifunga zaidi ya GOLI 20. Mpaka sasa, hawa ndio wachezaji muhimu walioondoka TP Mazembe baada ya kumalizika msimu uliopita: 1. Phillipe Kinzumbi ▶️ Club Africain (Winga) 2. Joel Beya ▶️ FAR Rabat (Mshambuliaji) 3. Kelvin Mondeko ▶️ USM Alger…