>

SIMBA:KAZI TUTAIMALIZA UWANJA WA MKAPA KIMATAIFA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa kazi kubwa kwenye anga la kimataifa itakwenda kuamuliwa Dar, Uwanja wa Mkapa kwenye mchezo wa marudio dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya. Ni Septemba 15 2024 baada ya dakika 90 kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika ubao ulisoma Al Ahli Tripoli 0-0 Simba hivyo ndani ya dakika…

Read More

USHAMBULIAJI YANGA KAZI IPO

UWEPO wa washambuliaji zaidi ya wawili ndani ya Yanga unatoa picha kwamba kazi ipo katika eneo hilo kwa kuwa hakuna mwenye uhakika wa kuanza kikosi cha kwanza kwenye mechi za ushindani kitaifa na kimataifa msimu wa 2024/25. Ukiweka kando washambuliaji ndani ya Yanga kuna viungo zaidi ya wawili wenye uwezo wa kufunga na kutengeneza nafasi…

Read More