>

SIMBA YATOSHANA NGUVU NA WAARABU KIMATAIFA

KAMPENI ya Simba kusaka tiketi ya kutinga hatua ya makundi imeanza kwa kukutana na kisiki cha mpingo ugenini mbele ya Al Ahli Tripoli ya Libya. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Al Ahli Tripoli 0-0 Simba hivyo dakika 90 za mchezo wakitoshana nguvu katika mchezo uliokuwa na ushindani mkubwa. Mashabiki wa Al Ahli Tripoli walikuwa…

Read More

YANGA KAZINI NEW AMAAN COMPLEX KIMATAIFA

BAADA ya mchezo wa Septemba 14 2024 ubao kusoma CBE SA 0-1 Yanga dakika 90 za kazi zinatarajiwa kuchezwa Jumamosi katika ardhi ya Tanzania. Chini ya MiguelGamondi ambaye ni kocha mkuu wa Yanga katika dakika 90 za ugenini bao la ushindi lilipachikwa na mshambuliaji Prince Dube dakika ya 45. Gamondi ameweka wazi kuwa kuanza kwa…

Read More

AZAM FC WAMEANZA NAMNA HII NA BENCHI JIPYA

BENCHI jipya la ufundi la Azam FC mchezo wao wa kwanza wa Ligi Kuu Bara limeshuhudia wakigawana pointi mojamoja dhidi ya wapinzai wao Pamba Jiji katika mchezo uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Septemba 14 2024. Ikumbukwe kwamba mchezo wa kwanza wa ligi msimu wa 2024/25 ilikuwa JKT Tanzania 0-0 Azam FC wakati huo timu ilikuwa…

Read More