
TAIFA STARS KAZI IMEANZA
KAZI imeanza kwa wachezaji wa timu ya taifa ya Tanzania,Taifa Stars kwa ajili ya maandalizi ya michezo miwili ya kujiandaa kufuzu AFCON 2025. Taifa Stars, chini ya Kaimu Kocha Mkuu Hemed Morocco tayari wachezaji wameingia kambini baada ya kukamilisha majukumu yao kutoka kwenye timu ambazo zinashiriki Ligi Kuu Bara Tanzania. Agosti 29 2024 Kikosi cha…