CBE WA ETHIOPIA MABINGWA WA KOMBE LA CECAFA LA WANAWAKE
Baada ya kushindwa katika fainali mara mbili, timu ya kocha Birhanu Gizaw Heye imefanya vyema baada ya kuilaza Kenya Police Bullets 1-0 kwenye fainali iliyochezwa kwenye uwanja wa Abebe Bikila mjini Addis Ababa na kubeba Kombe la Cecafa kwa upande wa Wanawake. Mfungaji bora wa shindano hilo Senaf Wakuma Zenaf Demise alifunga bao pekee dakika…