>

SABABU YA SAMATTA KUTOITWA STARS YATAJWA, JOB AJUMUISHWA

KIKOSI cha timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars kitaingia kambini Agosti 28 2024 ambapo kutakuwa na mechi mbili kujiandaa na michezo ya kufuzu AFCON 2025 dhidi ya Ethiopia na Guinea itaayochezwa Septemba 4 na Septemba 14 2024. Kaimu Mkuu wa Taifa Stars, Hemed Suleiman Morocco amesema kuwa wachezaji wanaitwa kwenye timu kulingana na mahitaji…

Read More

SIMBA QUEENS YAPOTEZA KIMATAIFA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimatafa Simba Queens wamepoteza mchezo wa nusu fainali kwa kufungwa mabao 3-2 dhidi ya Kenya Police Bullets uliochezwa Uwanja wa Abebe Bikila, Ethiopia. Simba Queens ilikuwa inachuana kuwania tiketi ya kucheza Ligi ya Mabingwa Afrika msimu ujao kupitia kwa kwa Nchi za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa). Kupoteza kwenye…

Read More

AZAM FC MATAJIRI WA DAR KIMATAIFA MWENDO WAMEUMALIZA

MATAJIRI wa Dar, Azam FC kwenye anga la kimataifa mwendo wameuliza kwa kufungashiwa virago na APR ya Rwanda katika hatua a awali Ligi ya Mabingwa Afrika. Ipo wazi kwamba kwenye mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Dar Azam FC inyonolewa na Kocha Mkuu, YusuphΒ  Dabo ilipata ushindi wa bao 1-0 hivyo ilikuwa na…

Read More

MWAMBA AHOUA AMELETA BALAA FOUNTAIN GATE

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Jean Ahoua ameushtua uongozi wa Fountain Gate baada ya bao lake la kwanza ndani ya Ligi Kuu Bara kutajwa kuwa ni miongoni mwa bao bora katika mchezo huo. Ukiweka mbali uongozi wa Fountain Gate kupitia kwa Ofisa Habari, Issa Liponda kutaja kuwa hilo ni bao pekee ambalo lilikuwa katika mipango makini…

Read More

CHAMA KALIAMSHA BALAA UPYA HUKO

INGIZO jipya ndani ya kikosi cha Yanga, Clatous Chama ameliamsha balaa upya kutokana na mwendelezo wake wa ubora kwenye anga la kimataifa ndani ya Ligi ya Mabingwa Afrika katika kikosi cha Yanga kinachonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Chama amekuwa gumzo kwa kuwa kwenye mchezo dhidi ya Vital’O uliochezwa Uwanja wa Azam Complex waliposhinda mabao…

Read More

TANO KUNTU ZA HANS RAFAEL MECHI YA SIMBA DHIDI YA FOUNTAIN GATE

1. SIMBA WANACHEZA KWA MALENGO Yes! Mnyama anashinda kwa swagger,mnyama anapika kila kiumbe mbele yake,magoli ya kideo yanafungwa na cleen sheet zinapatikana…mechi mbili goli (7) na Cleen sheet (2),mnyama kileleni anapepea 2. DEBORAH FERNANDEZ ROLE Kuna namna Fadlu anamtumia Fernandez kwenye kikosi chake,wakati Simba wanatoka nyuma Kapombe anapewa uhuru mkubwa wa kupanda mbele kisha Debora…

Read More