![SIMBA YAPITA NA MABAO 13 SHWAA](https://salehjembe.co.tz/wp-content/uploads/2024/06/Chilunda-600x400.jpg)
SIMBA YAPITA NA MABAO 13 SHWAA
WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika, Simba wamepita shwaa na mabao 13 mazima kwa msimu wa 2023/24 baada ya kuwapa mkono wa Thank You. Timu hiyo imegotea nafasi ya tatu inaungana na Coastal Union ya Tanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika huku Yanga na Azam FC hizi zikiwa na…