FEI TOTO AFUNGUKIA TUZO YA AZIZ KI

MFUNGAJI namba moja kwa wazawa Feisal Salum anayetimiza majukumu yake ndani ya Azam FC amempa pongezi mfungaji bora wa ligi msimu wa 2023/24 ndani ya ligi. Ikumbukwe kwamba vita ya kiatu cha ufungaji bora ilikuwa kali kati ya Fei aliyemaliza msimu akiwa na mabao 19 huku Aziz KI akitupia jumla ya mabao 21. Nyota hao…

Read More

SIMBA: HII IMEISHA, MIPANGO INAANZA

JUMA Mgunda, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa msimu wa 2023/24 umegota mwisho hivyo ni hesabu kwa ajili ya msimu mpya 2024/25. Kete ya mwisho ya funga msimu ilikuwa ni Mei 28 2024 baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Mkapa ulisoma Simba 2-0 JKT Tanzania. Hivyo Simba imekomba pointi sita mazima mbele ya…

Read More