RATIBA YA LIGI KUU BARA MZUNGUKO WA 29

FUNGA kazi inaendelea ndani ya Ligi Kuu Bara ambapo Mei 25 kunatarajiwa kuwa na mechi kali za maamuzi kwa kila timu kupambania pointi tatu muhimu. Hii hapa ratiba ipo namna hii:- Coastal Union v JKT Tanzania, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Simba dhidi ya KMV, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid, Arusha. Ihefu v Dodoma Jiji, Uwanja…

Read More

MWAMBA MGUNDA NA KASI YAKE HUKO UNYAMANI

JUMA Mgunda Kocha Mkuu wa Simba kwenye mechi ambazo amekaa katika benchi akishirikiana na Seleman Matola ndani ya msako wa dakika 90 ameonyesha kasi huko unyamani. Ipo wazi kwamba Simba inapambana kumaliza nafasi ya pili na mbabe wake mkubwa ni Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, Yusuph Dabo zote zina pointi 63 na mechi mbili…

Read More