Real Madrid imetinga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kufuatia ushindi wa jumla wa 4-3 dhidi ya Bayern Munich kwenye nusu fainali.
FT: Real Madrid ?? 2-1 ?? Bayern Munich (Agg. 4-3)
⚽ Joselu 88’
⚽ Joselu 90+2’
⚽ Davies 68’
Real itachuana na Borussia Dortmund kwenye fainali itakayopigwa Juni 1, 2024 Jijini London katika dimba la Wembley.