SportsANACHOMOLEWA KIUNGO WA KAZI YANGA Saleh7 months ago01 mins IMEELEZWA kuwa kuna kiungo wa kazi ndani ya kikosi cha Yanga mwamba Pacome yupo kwenye hesabu za mabosi wa Simba ambao wanapambana kuboresha kikosi hicho kwa ajili ya kurejea katika ubora ndani ya msimu mpya wa 2024/25 Post navigation Previous: SHINDANO LA PESA KIBAO LA EXPANSE SASA USIPIME\ CHEZA SASA KASINONext: SIMBA MIKONONI MWA MTIBWA SUGAR