SIMBA NGOMA NGUMU MBELE YA IHEFU

NGOMA imekuwa ngumu kwa Simba kuambulia pointi tatu kama ilivyo kwa Ihefu ambao nao wamekwama kubaki na ushindi wakiwa nyumbani kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Liti umesoma Ihefu 1-1 Simba ambapo waligawana vipindi kile cha kwanza ilikuwa ni mali ya Ihefu na kipindi cha pili Simba….

Read More

Tandika Jamvi Lako na Meridianbet Leo

Jumamosi hii ya leo mechi mbalimbali kupigwa yani namaanisha viwanja mbalimbali leo hii vitashuhudia mitanange ya hatari. Na wewe una nafasi ya kukusanya maokoto ukbashiri na meridianbet. Tengeneza mkeka wako wa maana leo ujishindie mkwanja safi. Pale LALIGA mapema kabisa ya saa 9:00, Atletico Madrid dhidi ya Girona ambapo timu hizi zinafatana kwenye msimamo wa…

Read More

SIMBA YAANDIKA REKODI HII TATU BORA

KLABU ya Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Abdelhak Benchikha imeandika rekodi yake ndani ya tatu bora kwa kuwa timu iliyoruhusu mabao mengi yakufungwa. Ipo wazi kuwa Simba inatarajiwa kutupa kete yake nyingine leo Aprili 13 dhidi ya Ihefu mchezo wa Ligi Kuu Bara unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Liti, Singida. Wachezaji wa Simba wanaonekana kutokuwa imara…

Read More

CHEKI RATIBA YA LIGI LEO

LIGI Kuu Tanzania Bara leo Aprili 13 2024 inaendelea kwa timu kusaka pointi tatu ndani ya uwanja baada ya dakika 90. Wababe Geita Gold watakuwa nyumbani Uwanja wa Nyankumbu kusaka pointi dhidi ya Mtibwa Sugar ambao nao wanazihitaji pia pointi tatu. Ihefu watawakaribisha Simba, Uwanja wa Liti kwenye msako wa pointi tatu muhimu. Tabora United…

Read More