Home Sports MWAMBA CLATOUS CHAMA MDOGOMDOGO ANAJITAFUTA Sports MWAMBA CLATOUS CHAMA MDOGOMDOGO ANAJITAFUTA March 27, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp MWAMBA wa Lusaka Clatous Chama anajitafuta ndani ya Simba akirejea kwenye ubora wake taratibu akiwa ni kinara wa pasi za mwisho za mabao msimu wa 2023/24 huku Simba wakiwa nafasi ya tatu na wamefunga mabao 39 ndani ya Ligi Kuu Bara