>

DUBE ANASEPA AZAM FC KUIBUKIA MITAA YA KARIAKOO

MUUAJI anayetabasamu Prince Dube ameomba kuondoka ndani ya kikosi cha Azam FC baada ya kuandika barua ya kuomba kuvunja mkataba wake. Dube ambaye amekuwa akiwatesa wababe wa Kariakoo hasa Simba amekuwa na zali la kuwafunga kila anapokutana nao kwenye mechi za ushindani amekuwa akitajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Kariakoo kati ya Simba na…

Read More

Ijue Safari ya Arteta Ndani ya Arsenal

Klabu ya Arsenal baada ya kuwa na mapito mbalimbali ya kutokuwa na nafasi nzuri ndani ya EPL hataimaye waliamua kumsajili aliyekuwa mchezaji wao Mikel Arteta ambaye mpaka sasa anakionoa kikosi hicho. Na haya hapa ndiyo mafanikio yake. Mikel Arteta alizaliwa 1982 mwezi Machi Hispania ambapo alicheza katika vilabu mbalimbali wakati akiwa kijana. Alicheza vilabu kama…

Read More

NAMNA MWAMBA PACOME ALIVYOWAVURUGA WAARABU

MWAMBA Pacome Zouzoa kiungo wa Yanga aliwavuruga Waarabu wa Algeria CR Belouizdad kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa Uwanja wa Mkapa kutokana na kasi yake na pasi za uhakika akitumia zaidi mguu wake wa kulia. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ilishuhudia ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Yanga 4-0 CR Belouizdad katika mchezo…

Read More

TIMU ZILIZOPO HATUA YA ROBO FAINALI LIGI YA MABINGWA AFRIKA

SHIRIKISHO la mpira barani Afrika limetangaza kuwa litapanga hivi karibuni siku maalumu kwaajili ya kupangwa kwa tarehe maalum ya kufanyika droo ya kupata timu ambazo zitafanikiwa kukutana kwenye robo fainali. Tanzania imefanikiwa kuingiza timu mbili ambazo zimefanikiwa kufuzu hatua ya robo fainali. Timu nyingine ni pamoja na Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini, Esparence Tunis ya…

Read More