Home Sports AMEREJEA SIMBA MKALI WA MABAO YA CAF Sports AMEREJEA SIMBA MKALI WA MABAO YA CAF February 29, 2024 FacebookTwitterPinterestWhatsApp AMEREJEA ndani ya kikosi cha Simba mkali wa mabao kwenye anga la kimataifa kuelekea kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Jwaneng Galaxy unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Machi 2 2024