WAARABU wa Algeria kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hawakuwa na ujanja walipotulizwa kwa mabao 4-0 dhidi ya Yanga mchezo uliochezwa Uwanja wa Mkapa jambo ambalo limeipa nafasi Yanga kutinga hatua ya robo fainali.
Curacao's players pose for a team photo before the start of the World Cup qualifier football match between Jamaica and Curacao at the National Stadium in Kingston, Jamaica on November 18, 2025. (Photo by Ricardo Makyn / AFP) (Photo by RICARDO MAKYN/AFP via Getty Images)