AZAM YATANGAZA KUACHANA NA NYOTA WAKE WANNE

Klabu ya Azam FC imetangaza kuachana na nyota wake WANNE ambao ni pamoja na Ayoub Lyanga, Edward Manyama, Malickou Ndoye na Issa Ndala ambao mikataba yao klabuni hapo imefikia ukomo. Taarifa ya Azam Fc kwenye mitandao ya kijamii imesema: “Ahsanteni sana kwa mchango wenu wa kuipigania nembo ya klabu yetu kwa kipindi chote mlichokuwa nasi….

Read More

KAMATA BONASI YA KASINO LEO! MAMILIONI YA EXPANSE

Milioni 2,500,000/= TZS zipo zinakusubiri leo hii kwa kucheza kasino, michezo  ya Expanse iliyopo Meridianbet Kasino ya Mtandaoni.  Washindi 40 kujizolewa bonasi za kasino na Ushindi wa Mamilioni. Jisajili sasa ujipatie ushindi wako. Michezo ya Kasino inaweza kukufanya uwe tajiri, ambapo Meridianbet watatoa bonasi za kasino kwa washindi 40 pekee, ambao watakuwa na alama nyingi…

Read More

MERIDIANBET YATOA MSAADA KWA WAKAZI WA KIBAHA

Kwa mara nyingine Meridianbet wamefanikiwa kufika wilaya ya Kibaha na kutoa msaada katika eneo hilo katika makundi mbalimbali ya kijamii. Wababe hao wa michezo ya kubashiri wameendelea kuhakikisha wanarudisha kwa jamii yao inayowazunguka, Ambapo wamefanikiwa kuwagusa makundi mawili ya kijamii ambapo wametoa msaada familia duni pamoja watu wenye ulemavu wa ngozi (Ualbino) Mabingwa hao wa…

Read More

SIMBA YAPITA NA MABAO 13 SHWAA

WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye anga la kimataifa katika Kombe la Shirikisho Afrika, Simba wamepita shwaa na mabao 13 mazima kwa msimu wa 2023/24 baada ya kuwapa mkono wa Thank You. Timu hiyo imegotea nafasi ya tatu inaungana na Coastal Union ya Tanga kwenye Kombe la Shirikisho Afrika huku Yanga na Azam FC hizi zikiwa na…

Read More

BILIONEA AMUITA CHAMA DAR FASTA

RAIS wa Heshima ambaye pia Mwekezaji wa Simba, Bilionea Mohammed Dewji ‘Mo’ amebadili maamuzi na haraka amemuita kiungo wao mshambuliaji, Mzambia Clatous Chama Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo kuongeza mkataba mpya kuendelea kubakia hapo. Awali ilielezwa kuwa Mo aliwagomea baadhi ya Viongozi wa Bodi ya Klabu hiyo kumuongezea mkataba kiungo huyo kutokana…

Read More

AZIZ KI NA FEI WANA REKODI ZAO BONGO

KIUNGO mshambuliaji ndani ya Azam FC, Feisal Salum, maarufu kama Fei Toto anaingia kwenye orodha ya nyota waliofunga hat trick mapema ndani ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24. Huku mwamba Aziz Ki wa Yanga akiingia kwenye rekodi ya nyota aliyefunga hat trick nyingi ambazo ni mbili. Mbali na Fei  kuwa mfungaji wa hat trick…

Read More

USAJILI WA YANGA BALAA ZITO LINAKUJA

UONGOZI wa Yanga umebainisha kuwa utafanya usajili wa kishindo katika dirisha kubwa la usajili ambalo limefunguliwa Juni 15 2024.  Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi ina mpago wa kuongeza washambuliaji pamoja na mabeki katika kikosi kwa msimu ujao. Ipo wazi kwamba Yanga ni mabingwa wa Ligi Kuu Bara kwa msimu wa 2023/24 wataipeperusha…

Read More

ULIMWENGU WA KASINO NA MAGIC POKER

Shinda mpaka mara 800 kwa dau lako unapocheza kasino, mchezo wa KARATA maarufu duniani, unaitwa Magic Poker unapatikana Meridianbet kasino ya Mtandaoni. Jisajili ushinde. Magic Poker ni mchezo mpya wa poker kutoka kasino ya mtandaoni ya meridianbet, uliotengenezwa na kampuni ya Wazdan Casino. Odds kubwa zitokanazo na kupata mikono mizuri ya poker na bonasi maalum…

Read More