
SIMBA YAFANYA UBABE MOROCCO,YANGA VITA BADO
SIMBA yafanya ubabe Morocco, Yanga yabainisha kuwa vita bado haijaisha ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
SIMBA yafanya ubabe Morocco, Yanga yabainisha kuwa vita bado haijaisha ndani ya Spoti Xtra Alhamisi
MECHI dume kabisa, mechi ya kibabe na mechi ya kibingwa inapigwa leo pale Dimba la Etihad, wana wanakwambia mshindi wa leo anaasilimia kubwa ya kuwa bingwa wa Premier League msimu huu. Leo Jumatano Manchester City chini ya Kocha Pep Guardiola itaikaribisha Arsenal kwenye Uwanja wa Etihad katika mchezo wa Ligi Kuu ya England ambao unatarajia…
MSHAMBULIAJI wa Manchester City Erling Haaland yuko njiani kutengeneza rekodi zake binafsi bora zaidi katika historia ya Premier League. Haaland ana umri wa miaka 22 tu na tayari amezoea ligi na nchi mpya kwa haraka sana sasa anafurahia msimu wake wa kwanza bora akiwa na Man City chini ya Kocha Pep Guardiola. Man City bado…
Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakupa ushindi kirahisi kupitia sloti ya Titan Dice ambayo ni moja ya michezo inayotoa hela ndefu kirahisi. Michezo ya Dice (kete) imekuwepo kwa muda mrefu kihistoria, mchezo huu ulianzia China ambapo waandaaji wa kisasa, Expanse Studios wametengeneza sloti ya Titan Dice kukumbusha uzuri wa mchezo huu. Kasino ya Mtandaoni ya…
CLATOUS Chama ni namba moja kwenye kutengeneza pasi za mwisho kwenye ligi akiwa nazo 14 kibindoni na ametupia mabao matatu kwenye nyavu za wapinzani bado anajitafuta kwa sasa. Kwenye msimamo Simba ipo nafasi ya pili na vinara ni watani zao wa jadi Yanga. Ngoma ni nzito kwenye kufunga na kutoa pasi za mwisho kwenye mzunguko…
LEGEND kwenye masuala ya uandishi wa Habari za Michezo kitaifa kimataifa amefunguka kuhusu nyota wa Yanga, Fiston Mayele pamoja na ishu ya mzee wa kuchetua Bernard Morrisson
MITAMBO ya mabao kwenye timu zenye ngome pale Kariakoo, Simba inayonolewa na Kocha Mkuu, Roberto Oliveira na Yanga inayonolewa na Nasreddine Nabi wameingia kwenye vita nyingine kimataifa. Ni ile ya kupambania timu zao kutinga hatua ya nusu fainali kwenye mashindano ya kimataifa ambayo wanashiriki kwa kukamilisha dakika 90 za ushindi kwenye mechi za robo fainali….
ULE uwezo uliopo kwenye miguu ya kiungo mgumu wa Simba, Sadio Kanoute uliwazubaza Waarabu wa Morocco, Wydad Casablanca kutokana na balaa aliloonyesha. Ikumbukwe kwamba Kanoute alirejea na kuanza kikosi cha kwanza licha ya kukosekana kwenye mechi nne mfululizo ikiwa ni pamoja na mchezo dhidi ya Yanga. Alikosekana mchezo dhidi ya Raja Casablanca hatua ya makundi,…
Baleke,Chama waapa kufa na Waarabu, Yanga wafungukia ishu ya Morrison kuuza mechi ndani ya Championi Jumatano
KALI Ongala, Kocha Mkuu wa Azam FC amesema kuwa hesabu kubwa kwa sasa ni mchezo wao wa hatua ya nusu fainali dhidi ya Simba. Taji hilo la Kombe la Azam Sports Federation mabingwa watetezi ni Yanga ambao nao wametinga hatua ya nusu fainali. Itacheza na Singida Big Stars Uwanja wa Liti na mshindi wa mchezo…
KIBU Dennis kiungo wa Simba bao lake dhidi ya Yanga, Uwanja wa Mkapa linatajwa kuwa moja ya bao lake bora ambalo amefunga msimu huu huku akiwa na pasi za mabao kwenye anga za kimataifa katika Ligi ya Mabingwa Afrika. Legend wa masuala ya michezo Bongo na kimataifa, Jembe ameainisha kuhusu kazi ya Kibu ambaye alifanya…
MKONGWE kwenye masuala ya uandishi wa habari za michezo Bongo kwenye anga la kitaifa na kimataifa, Saleh Jembe amezungumzia uwezo wa nyota wa Yanga ambaye ni nahodha Bakari Mwamnyeto
KUKATA tamaa kwenye mechi za mzunguko wa pili kwa wachezaji wa timu ambazo zimekwama kupata matokeo mazuri kwenye mechi zao iwe ni mwiko. Bado kuna kazi ya kufanya na kwenye mpira lolote linaweza kutokea kutokana na namna ambavyo timu zitajipanga kwa umakini licha ya kwamba Yanga inaongoza haina maana kwamba ligi imeshagota mwisho. Tunaona mzunguko…
BAADA ya Yanga kukamilisha kete ya kwanza ugenini, wawakilishi wa Tanzania kwenye anga la kimataifa kwenye Kombe la Shirikisho Afrika wamerejea Bongo. Kwenye mchezo huo uliochezwa nchini Nigeria baada ya dakika 90 ubao ulisoma Rivers United 0-2 Yanga na mabao yote yakifungwa na Fiston Mayele. Tayari kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi kimerejea…
AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa robo fainali ya pili dhidi ya Wydad Casablanca. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mohamed V, nchini Morocco baada ya robo fainali ya kwanza ubao wa Uwanja wa Mkapa kusoma Simba 1-0 Wydad Casablanca. Ni Ijumaa ya…
Mayele aitikisa Afrika, Baleke,Mayele waingia vitani ñdani ya Spoti Xtra Jumanne
ALLY Salim kipa namba tatu wa Simba ameonesha uimara wake akiwa langoni ndani ya dakika 270 kwa kuyeyusha dakika zote hizo bila kutunguliwa hata walipokutana na watani zao wa jadi Yanga. Nyota huyo alipewa mikoba ya kipa namba moja wa Simba Aishi Manula na ile ya kipa namba mbili Beno Kakolanya kwenye mechi tatu mfululizo….