GAMONDI AENDELEZA UBABE BONGO

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameendeleza ubabe wake kwa kushuhudia wachezaji wake wakiibuka na ushindi wa mabao 4-1 Mtibwa Sugar. Kwenye mchezo uliochezwa Desemba 16 Uwanja wa Azam Complex, Yanga walipeta na kukomba pointi tatu mbele ya Mtibwa Sugar wakiendeleza ubabe wao kwenye ligi. Mabao ya Yanga yalifungwa na Aziz KI ambaye alifunga mabao…

Read More

MADEREVA BAJAJI WANEEMESHWA NA MERIDIANBET

Kumekua kukitolewa misaada mbalimbali katika maeneo tofauti tofauti lakini leo hii Meridianbet wameamua kwenda kutoa msaada kwa madereva Bajaji wa maturubai ambayo yatawawezesha kufanya shughuli zao za kila siku vizuri. Utamaduni wa kuhakikisha wanarudisha kwa jamii yao inayowazunguka umedumu kwa miaka na miaka na leo walioneemeka ni madereva Bajaji katika maeneo mbalimbali ya jiji la…

Read More

Jumamosi Hii Ni Kupiga Mkwanja Tu Na MeridianBet

Jumamosi hii Meridianbet inataka kuhakikisha unapiga mkwanja wa kutosha kupitia michezo mbalimbali ambayo itakwenda kuchezwa leo katika ligi tofauti tofauti barani ulaya na hata hapa Tanzania. Kwanini Meridianbet wanasema watakikisha unapiga mkwanja wewe mteja wao kwakua wao wamemaliza jukumu lao kilichobaki ushindwe wewe tu, Kwani wameweka ODDS KUBWA katika michezo inayokwenda kupigwa Jumamosi ya leo…

Read More

SIMBA YAPEWA KIUNGO WA YANGA

KIUNGO mshambuliaji wa Yanga, Farid Mussa yupo huru kusajiliwa na timu yoyote itakayohitaji saini yake ikiwemo Simba ambayo imepanga kukifanyia maboresho kikosi chake. Hiyo ni kutokana na mkataba wake kufikia mwisho mwishoni mwa msimu huu akiwemo Chrispin Ngushi, Denis Nkane ambao hivi sasa wamepoteza nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza. Kwa mujibu kanuni za…

Read More

BENCHIKHA AANZA MASHINE NNE SIMBA SC

RASMI Kocha Mkuu wa Simba raia wa Algeria, Abdelhak Benchikha ameikabidhi Bodi ya Wakurugenzi ya klabu hiyo, majina ya wachezaji wanne anaotaka wasajiliwe katika dirisha dogo la usajili msimu huu. Hiyo ni katika kuhakikisha anatengeneza kikosi imara kitakacholeta ushindani katika msimu huu ambao wamepanga kufika hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Wapo…

Read More

AZAM FC MWENDO WAKE HUU HAPA

AZAM FC matajiri wa Dar balaa lao wanaliendeleza kutokana na kushinda kwenye mechi tano mfululizo ambazo ni dakika 450. Ikumbukwe kwamba kasi ya Azam FC ilianza Novemba Mosi ubao wa Uwanja wa Lake Tanganyika ulisoma Mashujaa 0-3 Azam FC, Novemba 4 ubao wa Uwanja wa Highland Estate ulisoma Ihefu 1-3 Azam FC,. Novemba 24 ubao wa Uwanja…

Read More

SIMBA YAMALIZANA NA WINGA WA MABAO

INAELEZWA kuwa uongozi wa Simba umemalizana na winga wa mabao ndani ya Mtibwa Sugar, Ladack Chasambi. Nyota huyo jina lake lipo pia kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambacho kilikuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mechi za kimataifa hivi karibuni. Ilikuwa ni kwenye kusaka tiketi ya kufuzu Kombe la Dunia…

Read More