MWAMBA ALIYEKUWA ANAWINDWA NA YANGA NI MNYAMA
RASMI Fabrice Ngoma ambaye ni kiungo ametambulishwa kuwa mali ya Simba. Nyota huyo anakuja kuungana na wachezaji wengine kwa ajili ya kupambania malengo ya msimu wa 2023/24 na timu imeweka kambi Uturuki akijua kuwa ubingwa msimu wa 2022/23 upo kwa Yanga. Alikuwa anatajwa kuwa kweye rada za Yanga pamoja na Azam FC ila Simba wanatajwa…