MWAMBA ALIYEKUWA ANAWINDWA NA YANGA NI MNYAMA

RASMI Fabrice Ngoma ambaye ni kiungo ametambulishwa kuwa mali ya Simba. Nyota huyo anakuja kuungana na wachezaji wengine kwa ajili ya kupambania malengo ya msimu wa 2023/24 na timu imeweka kambi Uturuki akijua kuwa ubingwa msimu wa 2022/23 upo kwa Yanga. Alikuwa anatajwa kuwa kweye rada za Yanga pamoja na Azam FC ila Simba wanatajwa…

Read More

KAZI KUBWA NI MUHIMU IFANYWE KWA UTULIVU

IPO wazi kuwa kila timu kwa sasa ipo chimbo ikifanya kazi kubwa kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24. Tunaona Azam FC wapo tayari wapo kambini kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya na kazi yao ya kwanza itakuwa kwenye nusu fainali Ngao ya Jamii dhidi ya Yanga. Simba nao wapo kambini na…

Read More

MAJEMBE MENGINE YANASHUSHWA YANGA

MAXI Mpia Nzengeli ni ingizo jipya ndani ya Yanga akitokea kikosi cha Maniema ya Dr Congo. Yeye ni winga mwenye uwezo wa kupandisha mashambulizi na kufunga jambo ambalo limewavutia Yanga kuinasa saini yake. Nyota huyo mpya Yanga anaungana na wengine ambao wametambulishwa ndani ya Yanga ikiwa ni mzawa Nickson Kibabage aliyekuwa wa kwanza kutambulishwa. Mwingine…

Read More

KMC NA BENCHI JIPYA

ABDI Hamid Moallin ni kocha mpya ndani ya kikosi cha KMC chenye ngome yake pale Kinondoni. Kocha huyo ambaye amewahi kuifundisha Azam FC amerejea kwa mara nyingine kwenye ardhi ya Bongo. Safari hii atakuwa na KMC kuipambania ndani ya Ligi Kuu Bara msimu mpya ujao. KMC haikuwa na mwendo mzuri ndani ya msimu wa 2022/23…

Read More

YANGA YAPIGA MKWARA KUHUSU USAJILI

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa kwa usajili ambao wameufanya watawasumbua kwelikweli wapinzani wao kwenye mechi zote za ushindani. Ni mzawa Nickson Kibabage kutoka Singida Fountain Gate huyu ametambulishwa ndani ya kikosi cha Yanga kiachonolewa na Kocha Mkuu Miguel Gamondi. Mwingine ni Jonas Mkude ambaye alikuwa ndani ya Simba sasa atakuwa ndani ya kikosi cha…

Read More

USAJILI WA SIMBA KIPA BADO MTIHANI MKUBWA

KWENYE usajili wa Simba katika dirisha lililofunguliwa hivi karibuni ni mzawa mmoja ametambulishwa ambaye ni David Kameta, ‘Duchu’. Moja ya mabeki wenye juhudi kwenye timu za kati amerejea ndani ya kikosi cha Simba anajukumu la kupambana kufikia uwezo wa kufanya kweli. Wapo wazawa wengi ambao waliibuka ndani ya Simba kutoka timu za madaraja ya kati…

Read More

JONAS MKUDE MOJA YA SAINI BORA NDANI YA YANGA

AMONG of the Quality sign hivyo tu basi unaweza kusema ikiwa utahitaji kueleza kuhusu usajili wa Yanga kwa kiungo wa kazi eneo la kati anayeitwa Jonas Mkude. Ni yeye Jonas Mkude hivi karibuni alipokuwa akizungumzia kuhusu yeye kuibuka ndani ya Yanga tetesi zilipokuwa nyingi hakuzungumza maneno mengi wala machache lakini yalikuwa na uzito mkubwa sana….

Read More

AZAM MATIZI KAMA YOTE TUNISIA

KIKOSI cha Azam FC kinaendelea na mazoezi Tunisia ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24. Timu hiyo ipo na wachezaji wake wapya ikiwa ni pamoja na Feisal Salum ambaye alikuwa ndani ya Yanga, Gubril Sillah ambaye ni kiungo. Sillah amesema kuwa ni furaha kuwa na timu hiyo na anaamini watafanya kazi kubwa msimu ujao….

Read More

BUKU YAMPA MAMILIONI SHABIKI WA YANGA

SHABIKI wa timu ya Yanga na Manchester United Ezekiel Mwang’onda (34) amesema ndoto yake ya miaka saba katika kubashiri imekuwa kweli baada ya kushinda kitita cha Shilingi Milioni 234,272,830 kupitia mchezo wa Perfect 12 wa kampuni ya michezo ya kubashiri ya M-Bet Tanzania. Mwang’onda ambaye ni mjasiriamali ameshinda mamilioni baada ya kubashiri kwa usahihi jumla…

Read More

YANGA KAZI IMEANZA, MAJEMBE YANANOLEWA

KIKOSI cha Yanga kimeanza mazoezi ikiwa ni maandalizi ya msimu wa 2023/24. Timu hiyo ya Yanga imeweka kambi Avic Town Kigamboni ikiwa chini ya Kocha Mkuu Miguel Gamondi. Miongoni mwa mastaa wa Yanga ambao wameanza mazoezi ni pamoja na ingizo jipya Gift Fred, Kennedy Musonda, Aboutwalib Mshery na Dickson Job. Majembe hayo yananolewa ikiwa ni…

Read More