JONAS MKUDE APIGWA MKWARA YANGA
MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amewapiga mkwara mzito mastaa wote wa timu hiyo ikiwa ni pamoja na kiungo Jonas Mkude aliyeibuka hapo akitokea ndani ya kikosi cha Simba. Habari zinaeleza kuwa Gamondi kwenye uwanja wa mazoezi yanayoendelea AVIC Town aliwaambia wachezaji wake kuwa wanapaswa kucheza kwa utulivu na kuepuka kucheza faulo ambazo hazina ulazima….