JONAS MKUDE APIGWA MKWARA YANGA

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amewapiga mkwara mzito mastaa wote wa timu hiyo ikiwa ni pamoja na kiungo Jonas Mkude aliyeibuka hapo akitokea ndani ya kikosi cha Simba. Habari zinaeleza kuwa Gamondi kwenye uwanja wa mazoezi yanayoendelea AVIC Town aliwaambia wachezaji wake kuwa wanapaswa kucheza kwa utulivu na kuepuka kucheza faulo ambazo hazina ulazima….

Read More

WAPINZANI WA YANGA KIMATAIFA SIO KINYONGE

KLABU ya Yanga chini ya Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ina kibarua cha kuipeperusha bendera ya Tanzania kwenye anga la kimataifa. Ni katika Ligi ya Mabingwa Afrika Yanga itakuwa na kazi ya kupeperusha bendera ya Tanzania. Katika hatua ya awali Yanga inatarajiwa kumenyana na Association Sportive d’Ali Sabieh Djibouti Télécom ambayo haipo kinyonge uwanjani. Wapinzani wa…

Read More

VIDEO:SIMBA YAFUNGUKIA ISHU YA KIPA MPYA/ ALIUMIA MAZOEZINI

KIPA mpya wa Simba Luis Jefferson anatajwa kupata maumivu kwenye mazoezi Uturuki ikiwa ni muda mfupi tangu atambulishwe. DR Shabiki wa Simba amebainisha kuhusu suala la mchezaji huyo ambaye hajapata fursa ya kucheza kwenye ligi ya Tanzania inayotarajiwa kuanza hivi karibuni. Ikumbukwe kwamba ni Yanga ambao ni mabingwa wa msimu wa 2022/23 huku Simba ikigotea…

Read More

ZAWADI ALIYOPEWA MAYELE KWA WAARABU HII HAPA

FISTON Mayele amepewa jezi namba 9 ndani ya kikosi cha Pyramids ikiwa ni ingizo jipya. Nyota huyo msimu wa 2022/23 alikuwa ndani ya kikosi cha Yanga ambacho kilikuwa kinanolewa na Nasreddine Nabi. Namba 9 inakuwa ni zawadi kwake Mayele kuendelea kuitumia kama alivyokuwa akifanya ndani ya Yanga na sasa atakuwa akiivaa mbele ya Waarabu hao…

Read More

MTIBWA SUGAR WAMEANZA KAZI

UONGOZI wa Mtibwa Sugar umebainisha kuwa haujamaliza kazi ya kutambulisha nyota wapya kutokana na kujipanga kuwa tofauti. Timu hiyo imeweka kambi Morogoro kwenye Uwanja wa Manungu na jana ilitarajiwa kucheza mchezo wa kirafiki dhidi ya KMC, Uwanja wa jamhuri. Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru amesema kuwa walikuwa kimya kwa muda wakikamilisha utaratibu wa…

Read More

MATOKEO MAZURI NA MABAYA YANATAFUTWA UWANJANI

USHINDANI kwa msimu mpya unategemewa na maandalizi ya ambayo yanafanywa kwa wakati huu kwa kila timu. Iwe ni Yanga ama Singida Fountain Gate hata Simba au Namungo wote matokeo yanaamuliwa na kile wanachokifanya kwa sasa. Kila timu inapambana kwa ajili ya maandalizi huku mabingwa watetezi Yanga kambi yao ikiwa AVIC Town Kigamboni, Singida Fountain Gate…

Read More

MTAMBO WA MABAO HUU HAPA KURITHI MIKOBA YA MAYELE

KUTOKA Ghana Hafiz Konkoni  mwenye umri wa miaka 23 alikuwa anakipiga Club ya Bechem United ya Ghana amesaini dili jipya Yanga. Hafiz msimu wa 2022/23 rekodi zinaonyesha kuwa kwenye Ligi Kuu nchini Ghana aligotea nafasi ya pili kwa wanaowania Tuzo ya Mfungaji bora kwa kufunga mabao 15 na pasi tatu za mabao. Nyota huyo alipata…

Read More

VIDEO:ISHU YA BANGALA KUIBUKIA AZAM FC NENO KUTOKA YANGA

JULAI 29 kiraka ndani ya kikosi cha Yanga, Yannick Bangala ametangazwa kuwa ni mali ya Azam FC.Bangala mkataba wake na Yanga ulibaki wa kadanrasi ya mwaka mmoja ambapo ulitarajiwa kugota mwisho 2024. Taarifa iliyotolewa na Yanga imeeleza kuwa wamefikia makubaliano mazuri na Azam FC ambao wamebainisha kuwa wamefikia makubaliano ya kumnunua mchezaji huyo kutoka Yanga….

Read More

ISHU YA JONAS MKUDE KUONDOKA KAMBINI YANGA IPO HIVI

WAKATI tetesi zikieleza kuwa kiungo mkabaji ingizo jipya ndani ya Yanga Jonas Mkude amesepa kambini AVIC habari za kuamini zimebainisha kuwa nyota huyo yupo kambini. Ikumbukwe kwamba Mkude ni ingizo jipya ndani ya Yanga aliibuka hapo akiwa mchezaji huru baada ya kukutana na Thank You kutoka kwa mabosi wake wa zamani Simba. Aliibuka hapo akiwa…

Read More

SINGIDA BIG DAY HII HAPA MAMBO YAMEPAMBA MOTO

ZIKIWA zinahesabiwa siku kabla ya tukio la kihistoria kwa Klabu ya Singida Fountain Gate tayari timu itakayocheza mchezo wa kirafiki imewekwa wazi. Ni AS Vita ya DR Congo itakuwa na kazi ya kuwapa burudani wakazi wa Singida na vitongoji vyake kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Agosti 2,2023. Siku hiyo itakuwa ni Singida Big Day ambapo wachezaji…

Read More

BANGALA AKUTANA NA THANK YOU YANGA

YANICK Bangala beki aliyekuwa ndani ya Yanga msimu wa 2022/23 amekutana na Thank You. Ni Julai 29 taarifa rasmi kutoka Yanga imeeleza kuwa nyota huyo hatakuwa kwenye kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24. Taarifa hiyo imeeleza namna hii: “Uongozi wa Young Africans SC unapenda kuutarifu umma kuwa tumefikia makubaliano na Klabu ya Azam FC ya…

Read More