
2023



MO APANDA KWENYE CHATI ZA MABILIONEA
MWEKEZAJI katika Klabu ya Simba, bilionea na mfanyabiashara maarufu Tanzania na Afrika kwa ujumla, Mohammed Dewji, anazidi kupaa kwa utajiri duniani baada ya hivi karibuni Jarida la Fobes kutoa orodha ya mabilionea 19 Afrika. Katika orodha hiyo iliyotoka Januari 30, 2023, Mo Dewji ambaye ni Rais wa Heshima wa Klabu ya Simba, ameshika nafasi ya…

AZAM FC YAPOTEZA MCHEZO WA KIMATAIFA
KWENYE mchezo wao wa kimataifa dhidi ya Al Hilal uliochezwa Januari 31, timu hiyo ilipoteza mchezo wake. Baada ya dakika 90 ubao wa Uwanja wa Azam Complex ulisoma Azam FC 0-1 Al Hilal. Bao pekee la ushindi kwa Al Hilal lilipachikwa dakika ya 45 kupitia kwa Mohamed Abdelrahman ambalo lilidumu mpaka mwisho wa mchezo. Huo…

MBRAZIL ATUA NA MIKWARA MIZITO SIMBA
MBRAZIL atua na mikwara mzito Simba, Morrison apewa masharti mapya Yanga ndani ya Championi Jumatano

KOCHA WA SIMBA KUANZA NA KIGONGO HIKI HAPA
KOCHA Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira ametua ndani ya ardhi ya Dar baada ya kuibukia Brazil ambapo alikuwa na masuala ya kifamilia. Kocha huyo ambaye amepewa mikoba ya Zoran Maki ameiongoza timu hiyo kwenye mechi mbili ilikuwa Simba 3-2 Mbeya City na Dodoma Jiji 0-1 Simba. Kigongo kinachofuata ni dhidi ya Singida Big Stars mchezo…

ASANTE JANUARI, KARIBU MWEZI WA UPENDO
YAPO mengimengi ambayo yanakatisha tamaa lakini yasikupe maumivu ukaacha kupambana kwa ajili ya kufikia malengo. Ilikua hivyo Januari Mosi kwenye mapambano na sasa ni Januari 31, unadhani unaweza kusema nini zaidi ya asante Januari, karibu mwezi wa upendo Februari. Yote kwa yote kuna matukio ambayo yalitokea ndani ya Januari yataishi kwenye kumbukumbu namna hii katika…

VIDEO:MZEE MPILI ATOBOA SIRI YA JEZI MPYA
MZEE Mpili atoboasiri ya jezi mpya Yanga ambayo imezinduliwa kwa ajili ya mechi za kimataifa

ALONSO ATAJWA KUMRITHI KLOPP LIVERPOOL
INAELEZWA kuwa, licha ya kuzungumzia mafanikio ya Jurgen Klopp ndani ya Liverpool, lakini mambo yanaweza kubadilika wakati wowote kikosini hapo na nafasi yake ikachukuliwa na kiungo wa zamani wa timu hiyo, Xabi Alonso. Klopp raia wa Ujerumani, ndiye alibadili mambo na kuweka historia klabuni hapo baada ya kutwaa Ligi ya Mabingwa Ulaya na kufuta ukame…

AZAM FC KUKIWASHA LEO MECHI YA KIMATAIFA
LEO Uwanja wa Azam Complex, Azam FC itakuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa dhidi ya Al Hilal. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa saa 1:00 usiku ikiwa ni kwa ajili ya kujipima timu hiyo ambayo imetinga hatua ya 16 bora ya Kombe la Shirikisho. Azam FC ilitinga hatua hiyo kwa ushindi…

MAYELE APEWA MBINU KUTUSUA KIMATAIFA
MAYELE apewa mbinu kutusua kimataifa kwa kutupia mabao mengi

SIMBA WATOA TAMKO ZITO, MUSONDA AANZA JEURI
SIMBA watoa tamko zito, Musonda aanza jeuri Yanga SC ndani ya Spoti Xtra, Jumanne

MANZOKI AKUBALI MUZIKI WA SIMBA, AITABIRIA MAKUBWA
MANZOKI akubali muziki wa Simba, aitabiria makubwa

BADO KAZI INAENDELEA, HAKUNA KUKATA TAMAA
MIGUSO ya furaha inaonekana kuanza kuyeyuka kwa baadhi ya mashabiki kutokana na timu zao kushindwa kupata matokeo kwenye mechi za Kombe la Shiriksho. Hakika kila mmoja anapenda kuona kile anachofikiria kinafanikiwa na ikiwa ngumu kutokea inakuwa ngumu kuamini. Imeshakuwa hivyo hakuna namna nyingine ya kuzuia kwa sababu mpira ni mchezo wa makosa yule ambaye atakosea…

HUU HAPA UZI MPYA WA YANGA KIMATAIFA
JANUARI 30,2023 Yanga imezindua uzi wao mpya kwa ajili ya mechi za kimataifa ikiwa imetinga hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho Afrika. Timu hiyo inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi Februari 12 ina kibarua kwenye mchezo wa kimataifa. Kabla ya kusepa Bongo bado itakuwa na kazi ya kucheza mchezo mmoja wa ligi itakuwa dhidi…

SINGIDA BIG STARS KAMILI KUIVAA SIMBA, KASEKE KUKOSEKANA
KLABU ya Singida Big Stars kwa sasa ipo Dara kwa ajili ya maandalizi ya mechi yao ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa, Ijumaa ikiwa ni mzunguko wa pili baada ya ule wa mzunguko wa kwanza kugawana pointi mojamoja kwa kufungana bao 1-1. Ni nyota Kaseke anayetumikia adhabu…

ISHU YA UCHAGUZI SIMBA YASIKIE MANENO YA WANACHAMA
WANACHAMA wa Simba wafungukia ishu ya uchaguzi wa Simba na hali yakufikia malengo yao kitaifa na kimataifa