
WAPIGWE TU, SIMBA SC YAAPA KUFA NA VIPERS,HOROYA
WAPIGWE tu, Simba SC yaapa kufa na Vipers,Horoya ndani ya Spoti Xtra Jumapili
WAPIGWE tu, Simba SC yaapa kufa na Vipers,Horoya ndani ya Spoti Xtra Jumapili
KATIKA ‘Brain Food’ leo tunakupa historia ya mwanamuziki Vannesa Mdee kutoka Tanzania ambaye kwa sasa ameamua kuacha muziki.
Mwili wa mwanasoka wa Ghana Christian Atsu umepatikana chini ya jengo alilokuwa akiishi kusini mwa Uturuki baada ya tetemeko kubwa la ardhi wiki iliyopita, wakala wa winga huyo wa zamani wa Chelsea alisema na kunukuliwa na Reuters. “Mwili wa Atsu ulipatikana chini ya vifusi,” Murat Uzunmehmet aliwaambia waandishi wa habari huko Hatay, ambapo mwili wa…
MCHEZO wake wa kwanza ikiwa Uwanja wa Mkapa kwenye anga za kimataifa kwa mwaka 2023 inapoteza. Ni kipigo kinachovunja rekodi yake tamu ya kutofungwa ikiwa Uwanja wa Mkapa baada ya dakika 90 kusoma Simba 0-3 Raja Casablanca. Kipindi cha kwanza Raja Casablanca walianza kwa utulivu mkubwa na walipata bao moja la kuongoza huku Simba wakikosa…
KIUNGO Aziz KI mali ya Yanga huenda asianze kikosi cha kwanza kwenye mchezo wa kesho kutokana na kutokuwa fiti. Yanga kesho ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Kimataifa wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya TP Mazembe. Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ameweka wazi kuwa wapo tayari kwa ajili ya mchezo wa…
HAKUNA mwenye unafuu kwa sasa sio Simba wala Yanga kwenye anga za kimataifa kutokana na mechi zao wote kuwa ngumu. Kwa mashabiki wakati huu lazima kuungana na kufanya kazi moja kushangalia timu zao huku wachezaji nao akili zao zikiwa kwenye mechi uwanjani. Dakika 90 ni za jasho kubwa kutokana na umuhimu wa pointi tatu kwa…
NI Full mkoko, kikosi cha Simba dhidi ya Raja Casablanca Uwanja wa Mkapa leo Februari 18,2023
KIUNGO wa zamani wa Yanga, Tonombe Mukoko amefungukia juu ya mechi yao dhidi ya Yanga itakayochezwa kesho Uwanja wa Mkapa nyota huyo aliwahi kucheza Yanga na sasa yupo ndani ya TP Mazembe
MCHAMBUZI Jemedari amezungumzia mechi ya leo anga la kimataifa Simba v Raja Casablanca
KUELEKEA kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya Makundi kesho Februari 19,2023 uongozi wa Yanga umewaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi. Yanga inayonolewa na Kocha Mkuu, Nasreddine Nabi ina kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo huo wa kimataifa wa pili wakiwa wametoka kupata maumivu kwenye mchezo wa kwanza ugenini. Ni US Monastir 2-0 Yanga…
NYIENYIE Hamuogopi, Mazembe waingia ubaridi, wagomea basi ndani ya Championi Jumamosi.
Wikiendi hii Meridianbet wanakupa fursa ya kutamba baada ya kukuwekea odds kubwa katika michezo mbalimbali ambayo itakwenda kupigwa wikiendi hii . Mabingwa wa michezo ya kubashiri wamemwaga odds za kutosha ni wewe tu ushindwe kutamba. Mechi za Jumamosi 18 Febuari Klabu ya Arsenal ambayo imetoka kupoteza dhidi ya Man City katikati ya wiki itakwenda kwenye…
UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya mchezo wao wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Raja Casablanca unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa. Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba amesema kilakitu kinakwenda sawa na wachezaji wote wapo tayari. “Wachezaji wetu ambao tuliwakosa kwenye mchezo uliopita dhidi ya…
BEKI wa kati wa Yanga, Yannick Bangala amesema wanafahamu mchezo wao dhidi ya TP Mazembe utakuwa na upinzani mkubwa lakini watahakikisha kuwa wanapambana ili waweze kupata matokeo ya ushindi wakiwa nyumbani. Bangala amewahi kukipiga AS Vita anawafahamu vyema TP Mazembe jambo ambalo ni faida kubwa kwa Yanga kuelekea katika mchezo huo. Yanga Jumapili February 20…
WINGA wa zamani wa Yanga na TP Mazembe, Chiko Ushindi Wakubanza, amesema kama Yanga watapambana zaidi na kucheza kwa moyo mmoja, basi watapata matokeo mazuri mbele ya TP Mazembe, huku akibainisha kwamba. Ushindi ambaye aliitumikia Yanga msimu uliopita kwa mkopo akitokea TP Mazembe, kwa sasa anakipiga katika Klabu ya Don Bosco ya nchini DR Congo…
MASHINDANO ya vijana wa shule za Afrika Mashariki (CECAFA) yanatarajiwa kuanza kutimua vumbi rasmi leo Ijumaa katika Uwanja wa Azama Complex Chamanzi. Mashindano hayo ambayo yanatarajiwa kufanyika kwa siku tatu yanashirikisha jumla ya nchi nane kutoka Afrika mashariki na kati huku Tanzania akiwa ndio mwenyeji wa michuano hiyo. Hizi ni mechi za Kanda za kufuzu…