HAYA HAPA MAJEMBE YA KAZI YA GAMONDI KIMATAIFA

KWENYE anga la kimataifa Yanga inayopeperusha bendera Ligi ya Mabingwa Afrika ina wachezaji waliopenya kikosi cha kwanza katika mechi mbili za Ligi ya Mabingwa Afrika na kukomba dakikazote 90 mwanzo mwisho. Ikumbukwe kwamba leo Yanga ina kibarua cha kusaka pointi tatu dhidi ya Medeama ya Ghana huenda wakaanza kikosi cha kwanza.

Read More

MTIBWA SUGAR YAPOTEZA TENA UGENINI

HAIJAWA kwenye mwendo mzuri Klabu ya Mtibwa Sugar ndani ya msimu wa 2023/24 kutokana na kukwama kupata pointi tatu ugenini. Desemba 7 ikiwa ugenini imepoteza pointi tatu dhidi ya Namungo FC kwa kushuhudia ubao ukisoma Namungo 1-0 Mtibwa Sugar. Bao la ushindi lilifungwa Derick Mukombozi ambapo Mtibwa Sugar ilitoka kupoteza mchezo wao dhidi ya Azam…

Read More

NYOTA SIMBA AMEPEWA ONYO NA BENCHIKHA

WAKIWA na kibarua cha kusaka ushindi dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco Desemba 9 2023 mshambuliaji Jean Baleke amepewa onyo na Kocha Mkuu wa Simba Abdelhak Benchikha. Ikumbukwe kwamba Simba haijapata ushindi kwenye mechi zake zote mbili hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika ikiwa na pointi mbili kibindoni.

Read More

KIUNGO MGUMU KAANZA NA REKODI YAKE SIMBA

KIUNGO wa kazi ngumu, Sadio Kanoute ameanza na rekodi yake mbele ya kocha mpya, Abdelhak Benchikha kwa kuwa nyota wa kwanza kuonyeshwa kadi ya njano katika mchezo wa kwanza kukaa benchi. Ikumbukwe kwamba Benchikha ni mrithi wa mikoba ya Roberto Oliveira, mchezo wake wa kwanza kukiongoza kikosi cha Simba ilikuwa Desemba 2, alishuhudi ubao ukisoma…

Read More

MAJEMBE YATAKAYOCHUKUA NAFASI YA MWAMBA LOMALISA

YANGA inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamond Desemba 8 ina kibarua cha kusaka ushindi mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Medeama ya Ghana. Ni Joyce Lomalisa huenda akakosekana baada ya kupata maumivu kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly. Gamondi ameweka wazi kuwa kuna nyota wawili ambao watabeba mikoba…

Read More

MANCHESTER CITY MAMBO SIO MAMBO LIGI KUU YA UINGEREZA

Mambo yanaonekana kuwaendeo kombo mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Uingereza klabu ya Manchester City, Kwani mpaka sasa wamecheza michezo minne ya ligi kuu ya Uingereza hivi karibuni na hawajapata matokeo ya ushindi katika mchezo wowote. Matokeo ya hivi karibuni ya klabu hiyo ambayo imetawala ligi kuu ya Uingereza kwa miaka saba nyuma hayaleti picha…

Read More

KOCHA SIMBA APENYA TATU BORA CAF

KOCHA Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha amepenya katika orodha ya makocha watatu bora wanaowania tuzo za CAF 2023. Ikumbukwe kuwa kocha huyo ni mrithi wa mikoba ya Roberto Oliveira aliyefutwa kazi kutokana na kupoteza mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya watani wa jadi Yanga. Oliveira alikuwa shuhuda ubao wa Uwanja wa Mkapa ukisoma Simba 1-5…

Read More

SAFU YA ULINZI INASUKWA UPYWA NA GAMONDI YANGA

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga ameweka wazi kuwa watafanyia kazi makosa katika mechi za kimataifa upande wa ulinzi ili kutoruhusu mabao mengi ya kufungwa. Ipo wazi kuwa katika mechi mbili ilizoshuka uwanjani hatua ya Makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, ukuta wa Yanga uliokota mabao manne, ugenini dhidi ya CR Beloizdad ilitunguliwa mabao matatu na…

Read More

THANK YOU KWA MAKOCHA ZIZINGATIE MAKUBALIANO

ILE kauli ya makocha wanaajiriwa ili wafukuzwe isiwe kigezo cha kila timu kumfukuza kocha pale wanapokosa wanachokitarajia kwenye mechi husika. Ipo wazi kuwa kuna mengi ambayo yanamzunguka kocha kwenye mpango kazi wa kusaka matokeo. Inawezekana viongozi wanatambua makosa yalipo wanashindwa kuyatatua kwa wakati. Muda mwingine ni aina ya wachezaji waliopo kushindwa kwenda na kasi iliyopo…

Read More

SIMBA: TUNAANZA NA WYDAD LIGI YA MABINGWA

BAADA ya kukosa ushindi katika michezo miwili ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba imepanga kuanza kupata ushindi dhidi ya Wydad Casablanca ya Morocco. Simba imevuna pointi mbili pekee ikicheza michezo miwili ya Kundi B katika Ligi ya Mabingwa Afrika msimu huu dhidi ya ASEC Mimosas ya Ivory Coast na Jwaneng Galaxy…

Read More

MAN UTD YAITANDIKA CHELSEA OLD TRAFFORD 2-1

Shughuli imemalizika, alama tatu muhimu kwa Mashetani Wekundu katika dimba la Old Trafford. FT: Man United 2-1 Chelsea ⚽⚽ McTominay 19’ 69’ ⚽ Palmer 45’ Manchester United imefikisha alama 27 baada ya mechi 15 ikikwea mpaka nafasi ya sita kwenye msimamo wa Ligi Kuu England. Chelsea inasalia nafasi ya 10 alama 19 baada ya mechi…

Read More