YANGA 2-0 KAGERA SUGAR

UBAO wa Azam Complex unasoma Yanga 2-0 Kagera Sugar ikiwa ni mchezo wa Ligi Kuu Bara. Yanga wamepachika mabao hayo kupitia kwa kiungo mshambuliaji Aziz KI ambaye amekuwa kwenye ubora wake. Lile bao la kwanza ni dakika ya 43 baada ya Fiston Mayele kuchezewa faulo na llle la pili shuti akiwa nje ya 18 dakika…

Read More

ALLY NYOTA WA MCHEZAO, ULINZI TATIZO SIMBA

KWENYE mchezo dhidi ya Ihefu mchezaji bora kwa upande wa Simba alikuwa ni Ally Salim na hii inatokana na makosa ya safu ya ulinzi ya Simba yaliyokuwa yakifanywa kila dakika. Salim ikiwa ni mchezo wake wa kwanza kayeyusha dakika 90 bila kutunguliwa akiokoa hatari ngumu ikiwa ni dakika ya 5,6,10,15 zote kutoka kwa washambuliaji wa…

Read More

USHINDI WA TSH MIL 26 WAMFANYA APAGAWE

Ilikuwa ni kama ndoto iliyootwa usiku na mara ghafla inageuka kweli, kutoka kulala maskini na kuamka Tajiri mwenye mamilioni ndani, hii sio hadithi ya soga ni simulizi ya kweli ya kijana aliyeweka mtaji wad au la Elfu 20 na kupata faida ya Tsh Mil 26. Utajiuliza ilikuaje yakawezekana ni biashara gani aliifanya ikampatia faida kubwa…

Read More

JEAN BALEKE AWALIZA IHEFU, ALLY SALIM MIKONO MIA

LICHA ya Ihefu kuwa bora kwenye mchezo wa leo mbele ya Simba kwenye upande wa umiliki wamekwama kusepa na pointi tatu. Dakika 90 zimekamilika ubao wa Uwanja wa Highland Estate unasoma Ihefu 0-2 Simba. Mabao yote mawili yamefungwa na Jean Baleke kipindi cha pili katika dakika za lala salama ilikuwa dakika ya 83 na 86….

Read More

MIAMBA HII IMEKIMBIZA KINOMA KIMATAIFA

MIAMBA wawili wazawa, Mudhathir Yahya na Farid Mussa wamefunga hatua za makundi kwenye Kombe la Shirikisho Afrika wakiwa na rekodi ya kila mmoja kuwatungua TP Mazembe. Hawa ni wazawa wawili ambao wametupia mabao kwenye hatua ya makundi wakati Yanga ikitinga hatua ya robo fainali. Nyota wote wameitungua TP Mazembe ambapo wa wanza kufunga alikuwa ni…

Read More

IHEFU 0-0 SIMBA

Uwanja wa Highland Estate Mbeya unapigwa mchezo wa kiume katika msako wa pointi tatu muhimu. Ubao unasoma Ihefu 0-0 Simba huku kila timu ikifanya mashambulizi kwa zamu. Ihefu wanaonekana kuwa bora katika umiliki wa mpira na kufanya majaribio langoni mwa Simba ambapo amekaa Ally Salim. Simba wanamtumia Kibu Denis, Jean Baleke kufanya mashambulizi huku Ihefu…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA SIMBA DHIDI YA IHEFU

Kikosi cha Simba dhidi ya Ihefu mchezo wa Ligi Kuu Bara namna hii:- Ally Salim yupo langoni Israel Mwenda Gadiel Michael kapewa kitambaa cha unahodha Onyango Kennedy Juma Ismail Sawadogo Pape Sakho Mzamiru Yassin Jean Baleke Habib Kyombo Kibu Dennis Akiba ni Feruz Mwanuke,Kapama, Mkude, Bocco, Mohamed Mussa

Read More

BALEKE, CHAMA KWENYE KAZI NYINGINE

CLATOUS Chama, Jean Baleke na Saido Ntibanzokiza baada ya kutimiza majukumu yao kwenye mchezo wa hatua ya robo fainali wakishuhudia ubao wa Uwanja wa Azam Complex ukisoma Simba 5-1 Ihefu leo wana kazi nyingine kusaka ushindi. Mchezo wa leo ni wa ligi unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Highland Estate ikiwa ni mzunguko wa pili ule wa…

Read More

VIGOGO WAMEPATA TABU MBEYA

WAKATI leo Ihefu wakitarajiwa kumenyana na Simba kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara mzunguko wa pili rekodi zinaonyesha kuwa vigogo wengi wa Dar wamebuma kusepa na pointi tatu. Ihefu inayonolewa na Kocha Mkuu, John Simkoko na Zuberi Katwila ambaye ni msaidizi imekuwa na mwendo bora kwa mechi wanazocheza nyumbani. Yanga wao kete yao ya kutofungwa…

Read More

ZAWADI YA PASAKA HII HAPA

MBEYA City wamepoteza dhidi ya Namungo kwa kuacha pointi tatu mazima huku wakiwapa zawadi ya Pasaka mashabiki wao. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Namungo 2-1 Mbeya City. Mabao ya Namungo yamefungwa na Jacob Masawe dakika ya 23, Shiza Kichuya dakika ya 74 na Mbeya City ni Abdulazak dakika ya 88. Hiyo ilipigwa Uwanja wa…

Read More

KAZI KIMATAIFA BADO IPO

KUPATA ushindi kwenye mechi za hatua ya makundi na kutinga hatua ya robo fainali hakika hili ni kubwa kwa timu zote ambazo zimefanikisha jambo hilo. Unaona kila mchezaji alikuwa anajituma kwenye mechi za nyumbani na ugenini katika kusaka ushindi na mwisho imekuwa hivyo. Mashindano ambayo yanafuatiliwa na watu wengi yameleta matokeo mazuri kwa kila timu…

Read More

LIVERPOOL NGOMA NZITO KWA ARSENAL

WAKIWA ndani yà Anfield Liverpool wamekubali kugawana pointi mojamoja na Arsenal ikiwa ni ngoma nzito kwa timu zote kusepa na poiti tatu. Baada ya dakika 90 ubao umesoma Liverpool 2-2 Arsenal huku kipindi cha kwanza kikiwa ni mali ya Arsenal na kile cha pili wenyeji walifanya kazi kubwa kusaka ushindi nakugotea kuongeza bao moja pekee….

Read More