>

YANGA 3-0 MEDEAMA LIGI YA MABINGWA AFRIKA

BAADA ya dakika 90 kuukamilika, Yanga imeshinda mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika hatua ya makundi dhidi ya Medeama wakiwa nyumbani. Ni mabao 3-0 Yanga wameshinda baada ya Pacome kufungua ukurasa wa mabao kipindi cha kwanza na Bakari Mwamnyeto na Mudathir Yahya kufunga kwenye mchezo wa leo kipindi cha pili. Kipindi cha kwanza kwenye mchezo…

Read More

YANGA YAGOMEA JAMBO HILI CAF

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa haujakata tamaa kwenye mashindano ya kimataifa malengo yao bado yapo kuona kwamba wanafikia hatua ya robo fainali. Katika mechi tatu ambazo ilicheza, Yanga ilivuna pointi mbili na safu ya ushambuliaji ilitupia mabao mawili huku ile ya ulinzi ikiruhusu mabao matano.  Ofisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe amesema kuwa malengo…

Read More

NAMNA SIMBA WALIYVOANZA KUONANA KIMATAIFA/ BADO MMENUNA

KWENYE anga la kimataifa Simba wamepata ushindi wa kwanza msimu wa 2023/24 dhidi ya Wydad Casablanca kwa mabao ya kiungo mshambuliaji Willy Onana ambaye alipachika mabao yote mawili. Katika mchezo huo uliochezwa Uwanja wa Mkapa, Onana alitumia pasi kutoka kwa kiungo mshambuliaji Kibu Dennis. Simba inafikisha pointi tano ikiwa nafasi ya pili kwenye msimamo ikitoka…

Read More

MAAGIZO HAYA YAMETOLEWA NA MASTA GAMONDI

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuwakabili wapinzani wao Medeama FC ya Ghana, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ametoa maagizo mazito kwa wachezaji wake wote kuanzia kwenye safu ya ushambuliaji na ulinzi. Ipo wazi kuwa baada ya kucheza mechi tatu katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, safu ya ushambuliaji ya Yanga ilitupia mabao…

Read More

SIMBA NA YANGA ZAPEWA TANO NA KOCHA BONGO

MECKY Maxime, Kocha Mkuu wa Kagera Sugar amesema kuwa wawakilishi wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Yanga na Simba wanafanya kazi kubwa licha ya kushindwa kupata matokeo mazuri. Ipo wazi kwamba Yanga na Simba zinaipeperusha bendera ya Tanzania kwenye hatua ya makundi ambapo timu zote zina pointi mbili baada ya kucheza mechi tatu ndani…

Read More

ZAMU YA YANGA KUWAPA FURAHA MASHABIKI

KIMATAIFA mwendo ni mbovu kwa timu zote mbili ambazo zimetinga hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika kutokana na picha ya mechi za tatu za awali ilivyokuwa. Katika safu ya ushambuliaji inaonekana matatizo ni makubwa kwa timu zote na hata ulinzi pia ni shida hivyo ni muhimu benchi la ufundi kufanyia kazi. Yanga na Simba…

Read More

KISA MEDEAMA, GAMONDI ATOA MAAGIZO MAZITO YANGA

WAKIWA kwenye maandalizi ya mwisho kuwakabili wapinzani wao Medeama FC ya Ghana, Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi ametoa maagizo mazito kwa wachezaji wake wote kuanzia kwenye safu ya ushambuliaji na ulinzi. Ipo wazi kuwa baada ya kucheza mechi tatu katika hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika, safu ya ushambuliaji ya Yanga ilitupia mabao…

Read More

SIMBA YAWATULIZA WAARABU KWA MKAPA

MCHEZO wa nne kwa Simba katika hatua ya Ligi ya Mabingwa Afrika wanavuna pointi tatu ubao wa Uwanja wa Mkapa uliposoma Simba 2-0 Wydad Casablanca. Katika mchezo wa leo Desemba 19 mabao yote ya Simba yalifungwa kipindi cha kwanza cha mchezo ndani ya dakika 45 na kuvuna pointi tatu wakiwa nyumbani. Ni Willy Onana alipachika…

Read More

SIMBA 2-0 WYDAD LIGI YA MABINGWA AFRIKA

DAKIKA 45 za mwanzo Simba wanakwenda kwenye vyumba vya mazungumzo wakiwa wanaongoza kwa mabao 2-0 Wydad Casablanca ukiwa ni mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Mtupiaji wa mabao yote mawili ni kiungo mshambuliaji Willy Onana ambaye kafunga mabao hayo ndani ya dakika mbili. Alianza dakika ya 36 na lile la pili ilikuwa dakika ya 38…

Read More

WASHIKA BUNDUKI ARSENAL WAPEWA UBINGWA EPL

BEKI wa zamani wa Manchester United, Gary Neville, amesema Arsenal ndiyo timu pekee inayoweza kutoa ushindani kwa Manchester City katika kuwania ubingwa wa Premier League msimu huu. Kauli ya Muingereza huyo imekuja kufuatia Liverpool kushindwa kuifunga Manchester Utd katika mchezo wa Premier uliochezwa Anfield, juzi Jumapili. Arsenal wamerejea kileleni mwa msimamo wa Premier, baada ya…

Read More

AMEFUMUA KIKOSI KISA WAARABU, CHAMA ASABABISHA MAJANGA

KUELEKEA kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Wydad Casablanca, Kocha Mkuu wa Simba, Abdelhak Benchikha amefumua kikosi hicho ambapo wachezaji wawili watakuwa jukwaani ikiwa ni Sadio Kanoute na Saido Ntibanzokiza wanaoutumikia adhabu ya kati tatu za njano. Mchezo wa leo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkapa unatarajiwa kuwa na ushindani kwa timu zote…

Read More

TABORA UNITED YAPELEKA ONYO JANGWANI

UONGOZI wa Tabora United zamani ikijulikana kama Kitayose umesema kuwa kampeni ya kuzisaka alama tatu dhidi ya Yanga imeanza, huku wakiamini kuwa kuanza maandalizi mapema ndiyo njia pekee yakutimiza malengo waliyojiwekea katika mchezo huo. Pendo Lema ambaye ni Afisa habari wa klabu ya Tabora United amesema kuwa kwa sasa hawana muda wakupoteza, na tayari kikosi…

Read More

SIMBA YATAJA VIGEZO VYA KUWAMALIZA WAARABU KWA MKAPA

WAKIWA na kibarua cha kusaka ushindi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika, dhidi ya Wydad Casablanca leo Jumanne, kocha mkuu wa Simba, Abdelhack Benchikha amefumua kikosi na kubainisha mambo saba yatakayoipa ushindi timu hiyo. Ipo wazi kwamba Wydad Casablanca nao hesabu zao kubwa ni kupata ushindi hivyo zitakuwa ni dakika 90 za kazi kubwa,…

Read More