SIMBA: WAARABU WAMEKUJA WAKATI MBAYA

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa wapinzani wao Al Ahly, Waarabu wa Misri wamekuja wakati mbaya ikiwa ni maandalizi ya mwisho ya mchezo wa ufunguzi wa African Super League. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Oktoba 20 2023 ukiwa na wageni wakubwa kutoka pande zote za dunia na miongoni mwao ni pamoja na rais wa Fifa Gianni…

Read More

M BET KUWAPA ZAWADI WASHINDI WA SANYASANYA SIMU NA TV

KAMPUNI ya michezo ya kubahatisha ya M-Bet Tanzania imezindua kampeni mpya ijulikanayo kwa jina la Sanya Sanya na M-Bet ambayo ina mwezesha mshindi kushinda fedha taslimu, simu ya mkononi na televisheni ya kisasa (Smart TV). Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo, Mkurugenzi wa Masoko wa M-Bet Tanzania, Allen Mushi amesema lengo la kuanzisha  kampeni…

Read More

MAKOSA YAFANYIWE KAZI KUIMARISHA STARS

DHAMIRA kubwa kwenye mechi za kirafiki ni kutambua makosa yalipo ili kuyafanyia kazi kwenye mechi zijazo. Tumeona namna wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania walivyopambana dhidi ya Sudan. Kupata sare ya kufungana bao 1-1 ugenini sio jambo la kujutia bali ni kuangalia wapi makosa yalifanyika. Kwenye safu ya ushambuliaji ni muhimu kuongeza umakini wakati…

Read More

MITAMBO HII YA KAZI YAINGIA CHIMBO KUELEKEA MZIZIMA DABI

ZIKIWA zimebaki siku sita kabla ya Mzizima Dabi kupigwa ndani ya Uwanja wa Azam Complex, mastaa wa Azam FC ikiwa ni pamoja na Prince Dube, Ayob Lyanga, James Akamiko, Idd Suleiman, (Nado) wanapewa mbinu kuikabili Yanga. Mastaa hao wanasukwa chini ya Kocha Mkuu, Yusuph Dabo aliyetoka kukiongoza kikosi kusepa na pointi tatu ugenini dhidi ya…

Read More