MAMILIONI KIGANJANI MWAKO NA AVIATOR YA PARIMATCH

KAMPUNI ya michezo ya kubashiri Parimatch Tanzania imewataka wateja wake kuchangamkia fursa za kuburudika kwa kucheza mchezo rahisi na mwepesi wa Aviator ambao umeshika kasi kwa kupendwa na wadau wengi wa kubeti ndani ya Kasino ya Parimatch. Hayo yamebainishwa na Ofisa Habari wa Parimatch, Ismael Mohamed wakati alipokuwa akizungumza jijini Dar es Salaam na kusema…

Read More

SIMBA HESABU KUBWA KWA AL AHLY

ZIKIWA zimesalia takribani siku nane kabla ya Simba hijacheza dhidi ya Al Ahly katika mchezo wa ufunguzi wa michuano ya African Football League, uongozi wa timu hiyo umesema watawaonesha wapinzani wao kwamba Simba ni timu ya aina gani. Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa Oktoba 20, mwaka huu kwenye Uwanja wa Mkapa, Dar, kisha marudiano Oktoba 24,…

Read More