SportsFT: LIGI YA MABINGWA AFRIKA: SIKILIZA YANGA 1-0 AL MERRIKH Saleh1 year ago1 year ago01 mins KWENYE mchezo wa Ligi ya Mabingwa Afrika uliochezwa Uwanja wa Azam Complex, Yanga imeibuka na ushindi wa bao 1-0. Ni Clement Mzize amepachika bao hilo dakika ya 66 na kuipa ushindi timu yake inayonolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi. Post navigation Previous: GAMONDI APANGUA KIKOSI KIMATAIFA, HIKI HAPANext: SIMBA KWENYE KAZI NZITO KIMATAIFA, MABAO YA KIDEO TATIZO