SIMBA 0-0 SINGIDA FOUNTAIN GATE

KIPA namba mbili wa Simba Ally Salim yupo langoni na ameshuhudia dakika 45 za mwanzolango likiwa salama. Ikiwa ni hatua ya nusu fainali ya pili Ngao ya Jamii Uwanja wa Mkwakwani Tanga. Ubao unasoma Simba 0-0 Singida Fountain Gate. Mshindi wa mchezo wa leo anakwenda kukutana na mshindi wa fainali ya kwanza iliyochezwa Agosti 9.

Read More

AZAM FC NI MASHUHUDA WA FAINALI TANGA

AZAM FC watakuwa mashuhuda wa fainali Agosti 13 katika mchezo wa Ngao ya Jamii baada ya kugotea hatua ya nusu fainali ya kwanza kwa kupoteza mbele ya Yanga. Licha ya kuanza kwa kasi Agosti 9 dhidi ya Yanga waliambulia maumivu kwa kupoteza mazima mchezo huo dhidi ya Yanga. Ikumbukwe kwamba Yanga ilitwaa taji ya Ngao…

Read More

NDONDO CUP KUNA SHIDA

UONGOZI wa Chama cha Soka Ubungo (UFA) umeweka wazi kuwa kumekuwa na changamoto ya viwanja katika uendeshaji wa mashindano ya Ndondo Cup ambayo yanaendelea jijini Dar. Shida hiyo ya viwanja inawafanya wachezaji kukwama kutoa ile burudani kwa mashabiki kwa kiwango cha juu kutokana na kuhofia kupata maumivu. Ikiwa ni muendelezo wa 32 Bora ambapo timu…

Read More

HAPA NDIPO WANAPOPATAKA DODOMA JIJI

UONGOZI wa Dodoma Jiji FC umesema maandalizi yao kwa ujumla na jinsi walivyotumia kipindi cha pre season kuwafua zaidi wachezaji wao kuelekea msimu ujao wa Ligi Kuu Tanzania Bara wanaimani kubwa ya kumaliza nafasi tano za juu. Dodoma Jiji wanatambua kwamba walipishana na ubingwa msimu wa 2022/23 ambao ulikwenda Yanga. Pia katika mchezo wa mzunguko…

Read More

KMC WAPIGA MKWARA MZITO

UONGOZI wa KMC umeweka wazi kuwa upo tayari kwa ajili ya Ligi Kuu Bara msimu wa 2023/24 kutokana na maandalizi ambayo wamefanya. Timu hiyo yenye maskani yake Kinondoni mchezo wake wa kwanza kwenye ligi takuwa dhidi ya Yanga. Ikumbukwe kwamba Yanga ni mabingwa watetezi wa ligi baada ya kutwaa taji hilo msimu wa 2022/23. Timu…

Read More

YANGA WATINGA FAINALI NGAO YA JAMII TANGA

KIKOSI cha Yanga kimeibuka na ushindi wa mabao 2-0 Azam FC katika mchezo wa Ngao ya Jamii nusu fainali ya kwanza. Yanga inakuwa timu ya kwanza kutinga hatua ya fainali ya Ngao ya Jamii ikiwa ni mara ya kwanza kuanza kushirikisha timu nne. Pia ni mchezo wa kwanza kwa Gamondi kwenye mechi za ushindani baada…

Read More

YANGA 0-0 AZAM FC NUSU FAINALI NGAO YA JAMII

MIAMBA wawili ndani ya nusu fainali ya kwanza katika dakika 45 za mwanzo imetoshana nguvu mchezo wa Ngao ya Jamii. Ubao wa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga unasoma Yanga 0-0 Azam FC. Katika dakika 45 za mwanzo nguvu na faulo kwa timu zote za Yanga na Azam FC zimetoshana ambapo kila timu imecheza jumla ya faulo…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA, AZIZ KI AANZIA BENCHI

MIGUEL Gamondi Kocha Mkuu wa Yanga ikiwa ni kete yake ya kwanza katika mchezo wa Ngao ya Jamii hatua ya nusu fainali ya kwanza. Kikosi cha kwanza kwa Yanga kwenye mchezo unaotarajiwa kuchezwa Uwanja wa Mkwakwani Tanga ni pamoja na Diarra, Yao, Lomalisa, Mwamnyeto ambaye ni nahodha. Pia yupo Bacca, Aucho, Max, Mudhathir, Musonda, Farid…

Read More

HESABU ZA KOCHA SIMBA ZIPO NAMNA HII

ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa anataka rekodi mpya kwa wachezaji hao kupata matokeo mapema kwenye mechi zaoili kuongeza hali ya kujiamini. Simba kwa sasa ipo Tanga ikiungana na timu nyingine ambazo ni Singida Fountain Gate, Yanga na Azam FC zitakazoshiriki Ngao ya Jamii. Oliveira anakibarua cha kuiongoza Simba kwenye mchezo dhidi ya…

Read More

YANGA WAPANIA KUVUNJA REKODI

WAKIWA wameandika rekodi ya kutwaa mataji matatu msimu wa 2022/23 Yanga wameweka wazi kuwa wanajipanga kuvunja rekodi hiyo. Ni Ngao ya Jamii Yanga walitwaa kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Simba, walitwaa ligi na Azam Sports Federation kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa fainali, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga….

Read More

KILA IDARA MABADILIKO NI MUHIMU

KILA mchezaji anapenda kupata matokeo mazuri kwa ajili ya timu yake ipo hivyo. Sio Yanga, Singida Fountain Gate mpaka Kagera Sugar. Hata Namungo pia wanafanya maandalizi kwa ajili ya kuona wanapata kile kilicho bora uwanjani. Kila shabiki anapenda kuona timu yake inapata matokeo mazuri baada ya dakika 90. Kwa namna yoyote kinachotakiwa kwa wakati huu…

Read More