PANGA LINAPITA KWA WASHIKA BUNDUKI HUKO

ARSENAL iko tayari kuwauza wachezaji tisa ili wapate fedha kwa ajili ya kumpa nguvu Kocha Mikel Arteta ya kushusha jembe lingine kikosini hapo. The Gunners wametumia mkwanja mkubwa msimu huu wa joto ili kushindana kusaka ubingwa wa Premier ambao msimu uliopita waliukosa dakika za mwisho mbele ya Manchester City. Arsenal wametoa pauni 105m kwa Declan…

Read More

BETO YA VIUNGO SIMBA NI PASUA KICHWA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliveira amefichua mpaka sasa hana presha yoyote juu ya safu yake ya kiungo kutokana na ubora mkubwa unaonyeshwa na viungo wake wa kati, Mzamiru Yassin na Fabrice Ngoma hali inayopelekea kupata ugumu wa chaguo la kwanza. Ikumbukwe kwamba Simba ilipishana na taji la ligi msimu wa 2022/23 liliobukia Jangwani…

Read More