YANGA YAIPIGIA HESABU ASAS DJIBOUT
UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa wachezaji wote wako katika hali nzuri na wanatarajia kuanza mazoezi katika kambi iliyopo AVIC Town, Kugamboni. Timu ya Yanga imetoka kucheza mashindano ya Ngao ya Jamii ilipoteza kwa penalti mchezo wa fainali dhidi ya Simba. Ofisa Habari wa Yanga, Ally Kamwe amesema, “Wachezaji wote wapo vizuri na wanatarajia kuanza…