WATANI WA JADI KUKIWASHA MAPEMA TU LIGI KUU BARA

LEO Agosti 7 Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) kupitia Afisa Mtendaji Mkuu, Almasi Kasongo, imetangaza ratiba ya msimu mpya wa 2023/24. Katika ratiba hiyo inayotarajiwa kuanza Agosti 15 2023 mchezo wa kwanza wa kufungua pazia utachezwa Uwanja wa Highland Estate, Mbeya. Ihefu wao watakuwa nyumbani wakiikaribisha Geita Gold inayonolewa na Kocha Mkuu, Hemed Morocco….

Read More

SIMBA YAIBUKA NA ISHU YA SUMU KISA HIKI HAPA

KUTOKANA na usajili waliofanya na ubora wa kikosi kwa msimu wa 2023/24, mashabiki wa Simba wameomba kupewa sumu ikiwa tu timu hiyo haitatinga hatua ya nusu fainali Ligi ya Mabingwa Afrika. Ikumbukwe kwamba msimu wa 2022/23 watani zao wa jadi Yanga walitinga hatua ya fainali katika Kombe la Shirikisho Afrika. Pia mgeni rasmi, Rais Samia…

Read More

MAPEMA KUMPA ZIGO LA MAYELE KONKONI YANGA

SASA ni rasmi Fiston Mayele hatakuwa sehemu ya kikosi cha Yanga kwa msimu wa 2023/24 baada ya kukamilisha dili lake la kujiunga na matajiri wa nchi ya Farao Pyramids ambao msimu huu watakuwa na kibarua kikubwa cha kulisaka taji la Ligi ya Mabingwa Afrika. Mayele amekuwa na misimu miwili bora akiwa na kikosi cha Yanga…

Read More

MASTAA HAWA WAMEONGEZEWA MAKALI KUIMALIZA YANGA

WAKIWA wanajiandaa kuikabili Yanga mchezo wa Ngao ya Jamii nusu fainali, Uwanja wa Mkwakwani, Tanga mastaa wa Azam FC, Prince Dube na Abdul Suleiman, ‘Sopu’ wameongezewa makali kumtungua Dijigui Diarra. Azam FC ilikuwa Tunisia kwa kambi ya muda kuelekea msimu wa 2023/24 na tayari wamerejea Dar na kuanza maandalizi ya mwisho kuelekea mchezo wao dhidi…

Read More

ARSENAL WAMEANZA KWA KASI

WAMEANZA kwa kujiamini washika bunduki Arsenal mbele ya wapinzani wao Manchester City. Ni katika mchezo wa Ngao ya Jamii walifanikiwa kutwaa Ngao ya Jamii kwa ushindi wa penalti 4-1. Kwenye mchezo huo uliokuwa na ushindani mkubwa walitoshana nguvu kwa kifungana bao 1-1. Ilibaki kidogo wapishane na taji hilo kwani walisubiri hadi dakika ya 90+11 kusawazisha…

Read More