AZAM FC YALITAKA KOMBE LA YANGA

UONGOZI wa Azam FC umebainisha kuwa utaanza na Ngao ya Jamii kwenye ufunguzi wa msimu wa 2023/24. Yanga na Azam zinatarajiwa kumenyana Agosti 9 Uwanja wa Mkwakwani ikiwa ni hatua ya nusu fainali. Ofisa Habari wa Azam FC, Hasheem Ibwe amesema kuwa wapo tayari kwa msimu mpya na wataanza na Yanga. “Mchezo wetu wa kwanza…

Read More

KOCHA PSG KUBWAGA MANYANGA KISA HIKI HAPA

KOCHA mkuu mpya wa PSG, Luis Enrique anafikiria kujiuzulu nafasi yake baada ya mwezi mmoja tu, katika kazi hiyo huku sababu kubwa ikitajwa kuwa ni machafuko ambayo yanaendelea katika klabu hiyo hususani sakata la staa wa timu hiyo, Kylian Mbappe. Ripoti kutoka nchini Hispania zinaeleza kuwa, Enrique ambaye aliteuliwa kuwa kocha mkuu wa PSG mwanzoni…

Read More

SIMBA YATUMA UJUMBE KWA MASHABIKI KUONGEZA ULINZI

AHMED Ally, Meneja wa Idara ya Simba amesema Wanasimba wote wenye tiketi za Simba Day wajitahidi kuzilinda. Agosti 6 2023 ni kilele cha Simba Day ambapo watafanya tamasha lao kwa kutambulisha wachezaji wapya na wale waliokuwa katika kikosi cha Simba msimu wa 2022/23. Miongoni mwa wachezaji wapya ndani ya Simba ni Fabrice Ngoma ambaye alikuwa…

Read More

GAMONDI: WACHEZAJI MUHIMU KUONGEZA UMAKINI

MIGUEL Gamondi, Kocha Mkuu wa Yanga amesema kuwa wachezaji wake wanahitaji kuongeza umakini katika kutimiza majukumu yao yote. Timu ya Yanga imeweka kambi AVIC Town ikiwa ni maandalizi ya msimu mpya wa 2023/24. Yanga ni mabingwa watetezi baada ya kutwaa taji la ligi msimu wa 2022/23 pia wana kibarua cha kutetea Ngao ya Jamii. Agosti…

Read More

SIMBA TAMBO TUPU MSIMU MPYA, KOCHA ATAMBA

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazili, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ amewaondoa presha mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia muda walioupata katika kambi yao nchini Uturuki, umewasaidia kuwajenga. Ipo wazi kuwa Simba wanatambua kwamba ni Yanga walitwaa taji la ligi msimu wa 222/23 hivyo kocha huyo amewaandaa vizuri wachezaji wa timu huyo kwa ajili ya msimu ujao. Simba…

Read More

MASTAA WAPYA YANGA SKUDU, MAXI WAPEWA MZIGO MZITO

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Yanga, Mkongomani, Fiston Mayele, amesema anaamini usajili uliofanywa na timu hiyo, unatosha kabisa kutetea makombe yote ya ndani katika msimu ujao wa 2023/24. Yanga ina kibarua kigumu cha kutetea makombe yake ya Ngao ya Jamii, Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho la Azam Sports ambayo mshambuliaji huyo alihusika kuyabeba msimu wa…

Read More