SINGIDA FOUNTAIN GATE WAFANYA KWELI

SINGIDA Big Day 2023 imefana kutokana na mpangilio wa matukio na mashabiki kujitokeza kushuhudia burudani. Singida Fountain Gate wamefanya kweli kwa kupindua meza kibabe kwenye mchezo wao uliokuwa ukisubiriwa kwa shauku kubwa. Katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki ubao baada ya dakila 90 umesoma Singida Fountain Gate 2-1 AS Vita. AS Vita kutoka DR Congo…

Read More

SINGIDA FOUNTAIN GATE YACHOMOA MAJEMBE YA YANGA NA SIMBA

SINGINDA Fountain Gate imewatambulisha majembe mapya yatakaokuwa ndani ya kikosi cha timu hiyo kwa msimu wa 2023/24. Miongoni mwa nyota wapya ni wale waliokuwa ndani ya Simba na Yanga kwa msimu wa 2022/23. Ukiweka kando Joash Onyango ambaye alikuwa ndai ya Simba pia wamemtambulisha mshambuliaji Habib Kyombo na amepewa jezi namba 10. Mwamba mwingine ni…

Read More

YANGA YATUMA UJUMBE HUU SIMBA

ALLY Kamwe, Ofisa Habari wa Yanga, ameweka wazi kuwa, kwa msimu mpya wa 2023/24, malengo yao ni kuendelea pale walipoishia msimu wa 2022/23. Msimu wa 2022/23, Yanga ilikomba taji la Ligi Kuu Bara, Ngao ya Jamii na Kombe la Azam Sports Federation, huku ikigotea nafasi ya pili kwenye Kombe la Shirikisho Afrika. Kamwe amesema wanahitaji…

Read More

MAYELE MZEE WA KUTETEMA ‘THANK YOU’

MZEE wa kutetema Fiston Mayele hatakuwa ndani ya kikosi cha Yanga msimu mpya wa 2023/24 baada ya kupata changamoto mpya ndani ya kikosi cha Pyramids ya Misri. Hapa tunakuletea baadhi ya aliyofanya akiwa na uzi wa Yanga namna hii akikutana na Thank You:- Tuzo zake Ana tuzo ya ufungaji bora ndani ya ligi msimu wa…

Read More

NTIBANZOKIZA KWENYE REKODI YAKE BONGO

MSIMU wa 2022/23 Saido Ntibanzokiza alipachika mabao 17 ndani ya Ligi Kuu Bara ikiwa ni rekodi yake bora. Alitwaa tuzo ya kiungo bora msimu wa 2022/23, mfungaji bora licha ya kuwa ni kiungo mshambuliaji na jina lake lilijumuishwa kwenye kikosi bora cha msimu. Mshambuliaji Fiston Mayele wa Yanga naye alitupia mabao 17 na alitwaa tuzo…

Read More

SEKTA YA SKAUTI INAHITAJI MABORESHO BONGO

KWENYE upande wa usajili kumekuwa na sarakasi nyingi kwa timu za Bongo iwe kuanzia Ligi ya Wanawake, Championship mpaka Ligi Kuu Bara. Sio Simba, Yanga mpaka Geita Gold kumekuwa na sarakasi nyingi ambazo zinachezwa. Mpaka Namungo pia nao Singida Fountain Gate wanatambua namna ambavyo wamekuwa wakipambana kwenye upande wa masuala ya usajili hivyo ni muhimu…

Read More