LUKAKU AGOMEA OFA

STRAIKA Romelu Lukaku amegomea kujiunga na klabu za Saudi Arabia ambazo zimekuwa zikimwaga fedha nyingi kwa ajil ya kuzinasa saini za mastaa mbalimbali wa Ulaya. Lukaku ameongeza kuwa anataka kuendelea kubakia Ulaya kwa kuichezea timu ya Inter Milan ambayo yupo kwa mkopo akitokea Chelsea ambayo ilimsajili kutokea klabuni hapo. Klabu za Saudi Arabia zilikuwa zinamtaka…

Read More

MUDA UMEWATENGANISHA SIMBA NA MKUDE

AMEANDIKA Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba kuhusu Jonas Mkude ambaye hatakuwa katika kikosi hicho kwa msimu wa 2023/24 namna hii:- Ameondoka mtu tunaempenda kweli, ameondoka mtoto wetu, mtoto wa nyumbani kwetu. Kwa miaka ya hivi karibuni hakuna mchezaji tumewahi kumpenda kama Jonas Mkude na tutaendelea kumpenda. Wakati Simba ina njaa,…

Read More

MAYELE AIBUKA ATOA KAULI HII

MSHAMBULIAJI wa Yanga Mkongomani Fiston Mayele ameibuka na kutamka kuwa tuzo tano alizozishinda msimu uliopita wa 2022/23 zimethibitisha ubora wake, huku akiwashukuru viongozi, wachezaji na mashabiki wa timu hiyo. Mshambuliaji huyo wa Yanga yupo Dar kwa sasa baada ya kuwa DR Congo alipokwenda katika majukumu ya timu ya taifa hilo, alikuwa kwenye kikosi kilichocheza dhidi…

Read More