LUKAKU AGOMEA OFA
STRAIKA Romelu Lukaku amegomea kujiunga na klabu za Saudi Arabia ambazo zimekuwa zikimwaga fedha nyingi kwa ajil ya kuzinasa saini za mastaa mbalimbali wa Ulaya. Lukaku ameongeza kuwa anataka kuendelea kubakia Ulaya kwa kuichezea timu ya Inter Milan ambayo yupo kwa mkopo akitokea Chelsea ambayo ilimsajili kutokea klabuni hapo. Klabu za Saudi Arabia zilikuwa zinamtaka…