VIDEO:ISHU YA VIATU VIWILI VYA UFUNGAJI NAIBU AFUNGUKA
NAIBU wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Hamis Mwinjuma amezungumzia suala la kutoa tuzo za viatu viwili kwa wafungaji Fiston Mayele wa Yanga na Saido Ntibanzokiza wa Simba wote wakiwa wametupia mabao 17 msimu wa 2022/23. Pia Mayele wa Yanga ametwaa tuzo ya mchezaji bora ambapo tuzo hiyo ni mke wake aliichukua pamoja na…