CITY MABINGWA WA UEFA CHAMPIONS LEAGUE
UEFA Champions League mkononi kwa ushindi wa bao la Rodri dakika ya 68 dhidi ya Inter Milan Uwanja wa Ataturk Olympic. Katika mchezo huo Kocha Mkuu wa City Pep Guardiola alishuhudia vijana wake wàkipiga kona mbili na wapinzani wao Kona nne. Jumla zilipigwa pasi 512 kwa City na 394 kwa Inter ambao wapipiga mashuti sita…