MWANAHAMISI Omary, ‘Gaucho’ afungukia kuhusu maisha yake na kile ambacho anapenda kukifanya kila siku kwenye maisha yake.
Nyota huyo ni miongoni mwa Legend kwenye Soka la Wanawake na walipokuwa wakikutana na watani zao wa jadi Yanga Princess alikuwa akiwapa tabu ndani ya uwanja.