Skip to content
KAMATI ya Tuzo ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzaniam (TFF) imefanya uteuzi wa washiriki katika makundi mbalimbali ya Tuzo hizo.
Ni makundi matano ambayo ni Tuzo ya Kombe la Shirikisho la Azam Sports Federation
Tuzo za Ligi Kuu ya Wanawake
Tuzo za Ligi Kuu Bara
Tuzo za Utawala
Tuzo za Ligi nyingine
Hizi ni Tuzo za Kombe la Shirikisho
Kipa Bora
Djigui Diarra wa Yanga
Abdulai Idrissu wa Azam FC
Mchezaji Bora
Taarifa imeeleza kuwa wateule watatangazwa Mei 21 baada ya mechi ya nusu fainali ya pili kati ya Singida Big Stars dhidi ya Yanga
Mfungaji bora ambapo mshindi ni yule atakayekuwa amefunga mabao mengi
Andrew Simchimba wa Ihefu katupia mabao 7 lakini timu hiyo imeondolewa kwenye mashindano ila mabao hayajafutwa
Clement Mzize wa Yanga katupia mabao sita
Abdul Suleiman wa Azam katupia mabao matatu.
Katika orodha hii hakuna nyota kutoka kikosi cha Simba ambaye amepenya .